Kaka, Kama meditation inasaidia kuona mambo yajayo, ni kivipi wakufunzi/ ma-master wenu hawakuweza kugundua maovu yenu, kama kutoroka, au kushiriki katika ibada za ajabu za dini nyingine? Kuwahisi wageni wabaya? Kumiliki siraha? Au kwanini hawakuweza kuzuia mambo mabaya yasitokee hasa kwa wanafunzi wao?
Tulimaliza miaka miwili ya kwanza na kurudi Tanzania mwaka ambapo nilikuja kugundua kuwa tayari nimeshadata na mambo ya Buddhism na meditation hivyo kipindi cha kusubiri majibu niliondoka tena kwenda Kenya kupitia Mombasa kwenda kujifunza Krishna consciousness! Hiki ni kitu kipya kabisa. Nilikaa temple ya Mombasa kwa wiki moja tu na baadae kuhamia Nairobi Mathare Rd Hare Krishna temple
Tofauti na kwenye Buddhism tulikokuwa tunachant Buddha's name -Amitofo/Amitoh'una huku tulichant hivi
Hare Krishna hare Krishna
Krishna Krishna hare hare
Hare Rama hare Rama,
Rama Rama hare hare
Hii ilikuwa ni kama salamu na muongozo ambapo kwenye salamu ilikuwa tu ni hare Krishna kama amitofo kwnye Buddhism au Bwana asifiwe kwenye ukristo na salamu alyekum kwenye Uislam nk
Tulimaliza miaka miwili ya kwanza na kurudi Tanzania mwaka ambapo nilikuja kugundua kuwa tayari nimeshadata na mambo ya Buddhism na meditation hivyo kipindi cha kusubiri majibu niliondoka tena kwenda Kenya kupitia Mombasa kwenda kujifunza Krishna consciousness! Hiki ni kitu kipya kabisa. Nilikaa temple ya Mombasa kwa wiki moja tu na baadae kuhamia Nairobi Mathare Rd Hare Krishna temple
Tofauti na kwenye Buddhism tulikokuwa tunachant Buddha's name -Amitofo/Amitoh'una huku tulichant hivi
Hare Krishna hare Krishna
Krishna Krishna hare hare
Hare Rama hare Rama,
Rama Rama hare hare
Hii ilikuwa ni kama salamu na muongozo ambapo kwenye salamu ilikuwa tu ni hare Krishna kama amitofo kwnye Buddhism au Bwana asifiwe kwenye ukristo na salamu alyekum kwenye Uislam nk
Duu nilivyoona vile nikaiwekea Bonge la barafu...
BTW ukuje pm kuna kaujumbe kako
Tatizo la haya mambo ya supernatural ukishayajua unapata msukumo wa kuapply in real life,nakumbaka kama miaka kumi iliyopita wakat nikiwa shule katika pitapita zangu nlipata kujifunza SPELLS(sjui neno lake lakiswahili) kadhaa,basi nkiwa nna soo shule ama home naziandika kwenye karatasi jeupe then nachoma moto ama kutia katika maji kisha yale majivu ama maji nayamwaga eneo ambalo mwalimu atapita,basi lile soo linapotea katika mazingira ya kutatanisha hata kama ilikuwa ni ishu ya kufukuzwa kabisa shule
Tumalizie simulizi yetu sasa
Habari nilipita kwa bahati nikavutiwa na uzi naomba ufafanuzi kidogo kuhusu hii chanting n giving offerings kwa milefo,na hungry ghost kisha breakfast sababu nilipata bahati kidogo wakati nasoma foundation of faith n ethics kama sub course katika taaluma yangu na tukasoma kidogo ubudha so sijaelewa elewa hapo mkuu!!