bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
Tumoena jana Warizi wa mambo ya nje Mh B.Membe anavyotetea na kupinga kwa nguvu zote kwamba serikali ya tz haiko tayari kukubali pesa za rada zilipwe kupitia NGO za uingereza.Najaribu kujiuliza kwanini serikali ya tz isiwakamate mara moja A.Chenge na aliyekuwa Gavana wa Bank Idriss Rashidi na kuwafikisha mahakamani?