Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,841
- 20,687
Maswali yako ni kuntu na ni biblical.Ningekupa maandiko kutoka kwenye Biblia, lakini kwa vile inaelekea hujui maandiko,nadhani ni busara kukupa maelezo tu.Mkuu samahani nina swali kidogo, umesema original ya ukristo ni Middle East and specifically Israel, swali linakuja itakuaje sehemu yenye chimbuko la ukristo yani Israel ndio kuwe na idadi ndogo sana ya watu wakristo? Yani Israel ata waislam ni wengi kuliko wakristo, katika population yote ya Israel wakristo ni 2% na Muslim 6% na zilizobaki ni wayahudi
Sasa imekuaje kwenye chimbuko la ukristo wao hawautaki ukristo ila katika maeneo ambayo sio chimbuko ndipo kuna idadi kubwa ya wakristo mfano Africa
Ni hivii,Bwana Yesu (a re-incarnation of God),ambaye ndiye mwanzilishi wa Ukristo,amezaliwa Israel.Huyu Bwana Yesu,alichagua wanafunzi wake 12,ambao ndio waliokuwa msingi wa kwanza wa Ukristo Israel.
Kwa nini waumini wa Ukristo ni wachache Israel.It is a Godly plan.Through their denial of Jesus Christ,non-Iraelis(ambao Biblia inawaita Wamataifa), wamepata wokovu.The Bible makes it very clear that because of this, "true" Israelis will be saved as a nation.Hii inaweza kuwa ngumu kwako kuelewa,lakini ndio ukweli according to the Bible.