A BITTER TRUTH: Kwanini watu weusi walishindwa kwenda Ulaya/Amerika (Ughaibuni) kuwachukua wazungu (Whites) kisha kuwaleta Afrika kuwafanya watumwa?

Hee nani kakwambia mungu aliyachagua maeneo yale bro?si kweli wangu wala sidhani Kama mungu ana wivu wao wametupotosha kuamini mungu wao na wala mungu hakuchagua maeneo yale mungu yupo popote na ukimuomba popote anakusikia sio lazima uende huko!km angewachagua wao angewaweka ktk eneo lililo zuri na kila kitu.angalia hali ya hewa ya huko na africa wapi bomba kisha ujijibu mwenyewe wapi ni wapendwa wake cc au wao?tunaishi nao km wenzetu pamoja na mabaya yoote waliotufanyia km sio hekima ni nini wao wangewezaa?sisi sio wajinga kamwe ila hatujui uovu tunafundishwa na wao kilazima so many things to talk about hii mada ila the good thing is waafrica tumeanza kuamka look at u for eg..sisi ndio wana wa mungu..mchukue mtoto wa kiafrica na kizungu wape malezi sawasawa kisha tazama nani atakuwa bora kati yao interms of everything akili,nguvu,afya na kila kitu sisi ni bora kuliko wao mfano who is the best athlete,singer,footballer,boxer,tumewapita kila kitu isipokuwa wametuzidi roho mbaya,chuki,na fitna
 
Majibu yanavyotofautiana ina maana hatujui, ukiulizwa 1 + 1 utasema 2 shortcut and clear.
But kwa hili swali kila mtu na jibu lake.
 
Amazing but a big fat lie
dont shout... argue... wasomi au watu wanaopenda kujifunza hawabishi hivyo
Heli-Hyrp-641465.jpg
 
Hustles are game too, and the better you know your opponents the more money you can make.

Let me tell you, that was the only part of their plan. But the greatest art is to control your enemy.

The key to your victory it's in his head. What's the main weakness of a person who subconscious is like a bullet proof safe, that's right is afraid of losing everything.
 
Tulipokuwa shule ya msingi darasa la tano kwenye Historia tulijifunza kuwa Wakoloni walikuja Afrika kutokana na mapinduzi makubwa ya viwanda huko Ulaya. Kwa hiyo walikuja na malengo makuu matatu. 1.Kutafuta malighafi 2. Kutafuta soko la kuuza bidhaa zao 3. Kutafuta raslimali watu.
Sasa hapo tujiulize je sisi waafrika tulikuwa na sababu ipi kipindi hicho cha kwenda kuchukua watumwa kuleta huku Afrika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuathiri majibu ya watu wengine, sababu ya ziada ninayofikiri ni kwamba inawezekana Wazungu walikuwa na shida nyingi kuliko Waafrika. Kabla hawajagundua teknolojia watu wao wengi walikufa kutokana na mazingira magumu ya kuishi, ikiwa ni pamoja na baridi kali, njaa, magonjwa nakadhalika -- yaliyotokana na jiografia ya nchi zao. Ilibidi watumie akili za ziada kuishi. Wakajikuta wanatoka 'nje ya box' hadi kufika kwetu. Kwa upande wetu huku Africa, Mungu alitupendelea sana kwa raslimali nyingi, hali ya hewa nzuri n.k. ikawa huhitaji kutumia akili nyingi sana 'kusavaivu' Afrika. Tukabweteka. Bahati mbaya sana tunaendelea kubweteka hadi leo.
Hili ndilo jibu hasa nililolitegemea.
Ugumu wa maisha kwenye nchi za Ulaya ulipelekea wazungu kukua kiakili katika zile process za kukabiliana nao. Struggle hizi ndizo zoliwafanya watengeneze silaha kali , wakusanye mitaji mikubwa na hata sasa wafikirie endapo kuna mahali duniani penye maisha mazuri kuliko Ulaya.
Bahati mbaya au nzuri sisi weusi hatukuwa na shida kama hizo ,, sasa kwanini tustruggle wakati tumezungukwa na neema?

Kinachoendelea hadi leo ni ule mkakati wa mzungu kutomruhusu mwafrika kuibuka juu yao, japo kuna jambo naliona mtu mweusi atakuja kujitokeza( dalili mojawapo ni Obama mwenye nusu damu ya Kenya kuiongoza USA.) Ipo siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma kuhusu Moor Conquest and occupation huko Ulaya, itakusaidia kupanuliwa mawazo...
Halafu ivi vitu vya uzungu vs weusi ni mambo ya imani tu, ukishachagua kuamini hivyo ni vigumu kukubadilisha.
Angalia kwa mfano Wabongo wanavyoaminishana kuwa Kinjeketile Ngwale alikuwa mganga flani muongo muongo aliyewarubuni watu kwa maji wakaenda kufa kindezi kwenye risasi za jeremani. Ila hawajiulizi ilikuwaje vita ya maji na mishale vs vifaru na mabunduki makubwa makubwa ikadumu kwa takribani miaka miwili mizima.
You see, ignorance is a choice! Choose wisely...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulungwa, huyu ni Ramses II. Ndiye mfalme aliyekuwa na nguvu kuliko wote wa Misri, probably ndiye yule baharia aliyelisha msosi dunia nzima kwenye njaa kali inayotajwa katika Kitabu cha Mwanzo cha Biblia Takatifu.
Swali dogo, does he look white to you?
Egypt iliyowapokea na kuwatumikisha wayahudi haikuwa ya weusi.
Inventions nyingi zilizofanywa Afrika hazikufanywa na weusi, hata hizi unazosikia geometry na algebra kugunduliwa north Africa, hawakuwa weusi wale! Ni waarabu hawahawa tunaowaona leo wa Egypt, Morocco, Tunisia, Algeria, na hawa wa Egypt walisonga wakasogea hapo Sudan ambako hawaivi na weusi, unaona hata sasa nchi imegawanywa weusi wakabakia kusini. Ethiopians hawajikubali kama waafrika, actually wako Afrika kijiografia tu lakini hawapendi unasaba na weusi, na hiki ndicho chanzo cha mapinduzi ya Ethiopia yaliyomwondoa Mfalme Haile Selassie, ambapo Col Mengistu Haile Mariam alitoka jamii ya watu weusi waliokuwa wananyanyaswa Ethiopia na ndio waliokuwa wanapewa kazi za ulinzi, akatumia fursa hiyo kumpindua mfalme. Chanzo cha Eritrea kujitenga na Ethiopia ni hichohicho, kila anayejiona mweupe zaidi anajihesabia haki zaidi dhidi ya anayeonekana mweusi zaidi. Wasomali wanapenda kujitambulisha kama wasomali, hawapendi uafrika! Kwahiyo waafrika weusi ndio wanaotengwa, na sifa yoyote nzuri inayozungumzwa kwa jambo lililofanikiwa Afrika siyo ya hawa weusi!
images.jpeg-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema walianza kuendelea na kuwa na kufanya vumbuzi za teknolojia kwa haraka zaidi,kustaarabika ni jambo lingine kabisa ndio maana waliendelea kufanya ukatili wa kutisha kwa binadamu wengine kwa kipindi kirefu sana.Kuwa binadamu aliyestaarabika ni pamoja na kutojihusisha na ukatili na ufidhuli kwa binadamu mwenzako.
Sidhani kama waafrika tuna akili tofauti na watu weupe au wazungu. Nachoona ni wenzetu waliwahi kustaarabika na kuendelea kabla yetu na waliweza kugundua vingi kabla yetu hivi hapo ndipo walipotuzidi.

Ila kama ubaguzi usipokuwepo kabisa duniani na mtoto wa kiafrika na kizungu akakuzwa katika mazingira sawa utakuta akili zao zinafanya kazi sawa. Mfano ni mashirika kama FBI ambapo kuna watu weupe na weusi na wote wanapiga mzigo sawa sema kutokana na ubaguzi mweupe atafanywa awe kiongozi wa mweusi
 
Swali lako haliwezi kujibika kirahisi.

Kuna historia ndefu na complex sana kwa maendeleo ya kila race ya binadamu.
Nadharia mbalimbali bado zinaacha mijadala mingi badala ya majibu.

Kuna wenye nadharia ya mazingira,kuna wenye mrengo wa mwanayasansi James Watson aliyejaribu kuelezea genes na DNA kama kigezo kinachoamua akili za binadamu.

Kuna wenye kuamini haya ni mambo yanayojibiwa kwa imani za kidini.
Kwanini mzungu awe mbali kidogo? Huu ndio msingi wa swali langu. Ina maana wazungu wapo very intelligent tangia zamani sana na ndio maana wanatawala dunia mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom