A 52-year-old man hanged himself after allegedly being denied sex by his wife

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,500
9,279
Mwanaume mmoja Nchini Uganda aliyetambulika kwa majina Joseph Ojur mwenye miaka 52 mkazi wa ukanda wa Kabagu katika manispaa ya Njeru amejinyonga mpaka kufa baada ya kunyimwa ‘unyumba’ na mkewe.

Kamanda wa Polisi eneo la Njeru, Christopher Tuhunde amesema kuwa, marehemu alijinyonga ndani ya nyumba yake na jeshi hilo linaendelea kuchunguza kwa undani juu ya tukio hilo ili kuja na ripoti kamili kuhusiana na kujinyonga kwa Ojur.

“Naomba niwashauri ndugu zangu kuwa muwazi na penda kuomba ushauri kwa majirani juu ya matatizo yanayowakabili kuliko kukimbilia kujiua”, amesema Kamanda Tuhunde

Taarifa za awali zinasema kuwa mwanaume huyo alifanya vipimo vya afya yake na kugundua kuwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ndipo mkewe alianza kumkatalia kufanya naye tendo la ndoa.

EATV
---------

BUIKWE- A 52-year-old man on Sunday hanged himself after allegedly being denied sex by his wife.

Joseph Ojur, a resident of Kabagu Zone in Njeru Municipality, is said to have told his wife that he tested HIV positive and the wife has since then declined to have sex with him.

The Njeru Division Police Commander, Christopher Tuhunde, said the deceased committed suicide inside his house and police are investigating the incident to get a proper report surrounding circumstances that led to his death.

Mr Tuhunde, however, advised residents to always seek advice from others over domestic issues than committing suicide.

Source: Man denied sex, hangs self
 
Jamaa alikuwa anamatatizo sio bure. Polisi wafanye uchunguzi zaidi.
 
Back
Top Bottom