Utafiti binafsi: 98% ya watu ninaokutana nao na kuzungumza nao habari za siasa au wakiwa wanazungumza habari za siasa hueleza kutoitaka CCM na JK. hii ni pamoja na nyumbani, chuoni, hospitalini, hotelini, kwenye migahawa, dukani, sokoni, kwenye foleni za benki, kwenye daladala, kwenye taxi, kwenyevituo vya daladala, na kwenye vijiwe vyangu ninavyopendelea kukaa.
Wengi husema rais wao ni Dr Slaa. kwa mfano katika hospitali ilikuwa ni ndani ya chumba cha upasuaji (Thietre), hii inaonesha ukubwa wa tatizo.
Naomba member wa JF, hebu niambieni kwa upande wenu hali ikoje? maana isijekuwa ni mimi ninayewasikia vibaya au wanasema wanaponiona tu, maana na mimi rais wangu ni Dr W. Slaa
Wengi husema rais wao ni Dr Slaa. kwa mfano katika hospitali ilikuwa ni ndani ya chumba cha upasuaji (Thietre), hii inaonesha ukubwa wa tatizo.
Naomba member wa JF, hebu niambieni kwa upande wenu hali ikoje? maana isijekuwa ni mimi ninayewasikia vibaya au wanasema wanaponiona tu, maana na mimi rais wangu ni Dr W. Slaa