90% Ya wapiga mizinga ni Hulka Tu!

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,664
7,728
Huu ndio ukweli mchungu,wapiga mizinga wengi sio kwamba wana shida sana hapana ila ni mazoea ambayo wamejijengea kuwa maisha yao hayaendi bila mtu fulani ndio maana akikuomba pesa leo ukimpa basi wewe ndio utakuwa kimbilio na shida za aina zote duniani atakumbia wewe mpaka siku utakapomchoka na usiposhtuka kila mwezi mshahara wako lazima mtagawana tu.
 
Huu ndio ukweli mchungu,wapiga mizinga wengi sio kwamba wana shida sana hapana ila ni mazoea ambayo wamejijengea kuwa maisha yao hayaendi bila mtu fulani ndio maana akikuomba pesa leo ukimpa basi wewe ndio utakuwa kimbilio na shida za aina zote duniani atakumbia wewe mpaka siku utakapomchoka na usiposhtuka kila mwezi mshahara wako lazima mtagawana tu.
Huu ni unafiki, kwanini msiwachane kwamba hamtaki kuliko kuleta majungu mitandaoni huku.
 
Dah ila mwanamke omba omba ni shughuli.
Anajua nimeachishwa kazi lakini ananiambia stori za nguo za sikukuu, namuuliza unajua sina kazi?
Anajibu si umeachishwa watakupa mafao?

Shani ni boya sana

Kumuacha siwezi, unamuachiaje mwanaume mwenzio mwanamke kama huyu? Acha nikomae naye
 
Si bure mkuu inaonekana umeshapigwa mizinga ya kutosha tena heavy duty na sustainable, wape akili ya maisha otherwise unajitakia mwenyewe.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom