Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Mimi ni medical assistant hapa Mbeya, na leo nilienda hospitali ya rufaa kukutana na Drambaye ni rafiki yangu na alikuwa sehemu ya huduma ya haraka "casuality".
Nilipokuwa pale aliipokea miili tisa ya waandamanaji waliouawa kwa risasi, na nikaipiga picha na kesho nita upload picha hizo (kwa sasa natumia mobile devise).
Cha kushangaza polisi wamekaa kimya na hawasemi lolote, je hizo maiti tisa zilizouliwa kwa risasi ni za majambazi au waandamanaji? Na kwanini mmewapiga risasi za mgongoni na kisogoni hamkupiga miguu?
Nilipokuwa pale aliipokea miili tisa ya waandamanaji waliouawa kwa risasi, na nikaipiga picha na kesho nita upload picha hizo (kwa sasa natumia mobile devise).
Cha kushangaza polisi wamekaa kimya na hawasemi lolote, je hizo maiti tisa zilizouliwa kwa risasi ni za majambazi au waandamanaji? Na kwanini mmewapiga risasi za mgongoni na kisogoni hamkupiga miguu?