9/11: The biggest lie in history!

Star

JF-Expert Member
Dec 5, 2007
461
3
9/11: The biggest lie in history!

http://www.youtube.com/watch?v=7E3oIbO0AWE This video was sent to me by Mike Di; may Allah Almighty bless him by leading him to Islam. Ameen. Very powerful evidence, exposing the conspiracy, presented in this video!

http://video.google.com/videoplay?docid=-649993991751648213 (9/11 Justice)

9/11: The biggest lie in history! (Part I) Watch this video from White-Americans (not Arab-Muslims) proving that the Pentagon-bombing was done by a Global Hawk drone! No human-bodies, no airplane-debris of boeing 757, and no luggage were found! Also, no noise was either recorded or detected by any ordinary person!

Part II. [http://www.youtube.com/watch?v=63un5d_xcC0&mode=related&search=]
Part III. [[media]http://www.youtube.com/watch?v=aac6KmdycsI&mode=related&search=][/media]

Part IV
. [[media]http://www.youtube.com/watch?v=GcQBp264CME&mode=related&search=][/media]

Building 7 & Twin Towers Demolition ("Deceptions" part 2) Did the building really collapse on its own?

Painful Questions about September 11 -Part 1. [[media]http://www.youtube.com/watch?v=PPMCqDJHfeY&mode=related&search=]/U][/media]

Part II. [[media]http://www.youtube.com/watch?v=iNdtTnzf5YU&mode=related&search=][/media]

Part III.
[[media]http://www.youtube.com/watch?v=5w8o4jqHwV4&mode=related&search=][/media]

Pentagon attack Analysis ("Deceptions" part 1)

Media Deception from Oklahoma to 911 ("Deceptions" part 3)

http://video.google.com/videoplay?docid=5651675924179685534&q=loose+change&hl=en (part 1)

http://video.google.com/videoplay?docid=7866929448192753501&q=loose+change&hl=en (part 2 and this one discusses the pentagon and united 93 crashes in more detail)

A six-part video with ample evidence about the bombing of the Pentagon being A HOAX!

http://www.youtube.com/watch?v=v7zp-08Axi8
[media]http://www.youtube.com/watch?v=JQ4cNxFVNow&mode=related&search=[/media]
[media]http://www.youtube.com/watch?v=1rG7RoEW_Ak&mode=related&search=[/media]
[media]http://www.youtube.com/watch?v=VdUOTJaCkm0&mode=related&search=[/media]
[media]http://www.youtube.com/watch?v=3r81RCp7mqY&mode=related&search=[/media]
[media]http://www.youtube.com/watch?v=SSJws-Yxsyc&mode=related&search=[/media]


What some Leaders and People-in-Charge Said:

Bush Administration Insider Says U.S. Government Behind 9/11.

An interview with the former German Defense Minister saying that the US carried out/helped with the 9/11 attacks!

http://www.prisonplanet.com/020804vonbuelow.html

An interview with a former US Army General who also personally knows who shot down flight 93!

http://www.prisonplanet.com/022904degrandpre.html

Rumsfeld said flight 93 was shot down!

http://www.prisonplanet.com/articles/december2004/261204shotdown.htm



Our site in the Media:

http://www.youtube.com/watch?v=P8GPncnoaIE (by brother Eslam radio show. He is a convert to Islam)



If you know of a video that gives thorough and convincing evidence about 9/11 being the biggest lie in history, then please feel free to forward them to me.

Special thanks to brothers Abdullah Smith, Bassam Zawadi and Sami Zaatari - three of this site's authors - for forwarding these videos to me.


Answers From Quran 9/11--Must Watch
[media]http://www.youtube.com/watch?v=s0XmT3GoHAA&feature=related[/media]
 
Feeding on conspiracy theories will get you nowhere but in the mind of the conspirator!

Treat them with caution, treat them like flies on your food! I agree, some of are quite believable, but the majority of which just make good entertainment documentaries! The choice is yours, you can go ahead and find more of them as you wish!!


SteveD.
 
Kazi ipo!! Sasa imehusu na nini, hii new thread kuiondoa na kuiweka mnapopenda. Yahusu na nini? Mbona hamujiamini. Website ni yenu, matusi yenu, ujanja janya ni wenu kwanini hamujiamini.

Wape uhuru wanachama wachangie katika hii thread. Kisha mnasema mnataka wokovu kutoka kwa bwana Yesu. Bwana Yesu hakuwa na tabia hizo

Na jitayarisheni kupata kazi ya kufuta threads na kuziondosha kuziweka mnapotaka. Vitu moto moto vinakuja kwa madhumuni ya kumsafisha Bwana Yesu kutokana na uchafu wa sifa mnazompambia na maandiko katika Biblia. Attention!! RUNGU
 
Kazi ipo!! Sasa imehusu na nini, hii new thread kuiondoa na kuiweka mnapopenda. Yahusu na nini? Mbona hamujiamini. Website ni yenu, matusi yenu, ujanja janya ni wenu kwanini hamujiamini.

Wape uhuru wanachama wachangie katika hii thread. Kisha mnasema mnataka wokovu kutoka kwa bwana Yesu. Bwana Yesu hakuwa na tabia hizo

Na jitayarisheni kupata kazi ya kufuta threads na kuziondosha kuziweka mnapotaka. Vitu moto moto vinakuja kwa madhumuni ya kumsafisha Bwana Yesu kutokana na uchafu wa sifa mnazompambia na maandiko katika Biblia. Attention!! RUNGU
Kamanda hapana shaka kuwa umedata..
 
Wakuu heri mmesema nyie maana nikisema mimi naambiwa nimetukana..nafikiri mmejionea wenyewe vioja hivi..
 
Nimeziangalia zote, na nimesoma taarifa nyingi nyingine kuhusu hawa jamaa. Kwa conclusion, nawaweka kundi moja na wale wa holocaust denial. Propaganda haswa!
 
Muanzishaji mada alikuwa na lengo zuri ila Jazba nazo zinamsumbua. Kimsingi alitakiwa kuweka Hoja juu ya 9/11 namna ilivyokuwa, then awaachie members wachangie. Naomba tumvumilie kama kawaida yetu JF kwamba tunatofautiana ktk kufikiri.

Kimsingi DUNIA inaongozwa na media. Media nyingi zimeonesha kuwa AlQaida wamehusika, lkn hakuna Ushahidi wa kutosha juu ya hilo. Abraham linkon anasema UONGO UKIRUDIWA RUDIWA UTAONEKANA KWELI...PIA ALISEMA UNAWEZA KUWAPUMBUZA BAADHI YA WATU KWA MUDA< LKN HUWEZI KUWAPUMBAZA WATU WOTE WAKATI WOTE...

JUZI amerika alionesha manuari zake zikiwa zimezungukwa na Revolutionary Guard wa IRAN, na wakasema wanatishiwa. na BUSHA akatembea Mashariki ya Kati kuonesha kuwa IIRRAANN gaidi. IIRRAANN nao wakaja na version ya kuwa ile video iliyotolewa si kweli, ili Video zilizotengenezwa ktk computers, lkn si kweli.

KUJUA UKWELI NA UONGO ktk MEDIA SYSTEM ZA SASA KUNA HITAJI AKILI HURU na UCHAMBUZI KUTOKA DIFFERENT SOURCES.
 
Kithuku usikatae...Holocaust kwanini wanakataa Kujadiliwa? Last year IIRRAANN walifanya big conference na kuwaalika International Speakers kuja kuzungumza hio data...Kimsingi mie na ww ni vigumu kujua hilo unless uamua kuwa source fulan Unaiamini kuliko ingine..kukaa kwako ushahidi sio proof ya kuwa upande mwingine haupo sahihi. Dunia ya Sasa kila kitu kinajadilika.
 
Kithuku usikatae...Holocaust kwanini wanakataa Kujadiliwa? Last year IIRRAANN walifanya big conference na kuwaalika International Speakers kuja kuzungumza hio data...Kimsingi mie na ww ni vigumu kujua hilo unless uamua kuwa source fulan Unaiamini kuliko ingine..kukaa kwako ushahidi sio proof ya kuwa upande mwingine haupo sahihi. Dunia ya Sasa kila kitu kinajadilika.

Muhammad Alli Atta, tayari yupo 'peponi' sasa hivi ..analishwa tende tartiiib na wale wale mabinti ambao kwenye ashakum si matusi 'mammary glands' zao wametattoo jina lake kwa dhahabu ..MUHAMMAD ALLI ATTA, SHUJAA WA ALLAH, wakti wewe unazungumzia khabari kuwa 9/11 ni ya propaganda ya Marekani? Aaagh..! Hutaki mashujaa wa Allah wa kikoraish?

Kama Muhammad Alli Atta & Co hawapo mbinguni ina maana Marekani iliwapa lifti al Qaeda kwenda peponi kwa gharama na maisha ya Wamerikani, halafu wakatua bahti mbaya jehanamu? Toba Yarabi.....
 
Si kweli kwamba dunia ya sasa kila kitu kinajadilika muulize Irshad Manji (mwandishi wa The Trouble with Islam) au Salman Rushdie...
 
Mtindio wa Ubongo jinalako lisicarry maana halisi...maana hatutaelewana.

Unajua nini kiliwasukuma Wamarekani kwenda kumsaidia UK juu ya Hitler? fuatilia UK walifanya nini ili wapate support ya US...
 
Mwakilishi..Irshad Manji, Ayaan Hirsi na wengine they have nothing...NJAA na KUJIKOMBWA KWA WAZUNGU NDIO KUNAKOWASUMBUA...yeye anadai mwislam na hapo hapo anadai mabadiliko ktk Uislam. Uislam its not man made religions kama zilivyo zingine.
Ndo maana Mwalim Nyerere aliwaambia wale wanaotaka serikali ya Tanganyika ndani ya CCM, akasema watoke ktk CCM waanzishe sera zao..maana sera za CCM ni serikali 2. Mtu akiona uislam haumfai akae kando maana wewe ushakushinda waachie waliotayari kuufuata. Unapoanza kusema oohh hichi kibadilishe hio kesi ingine kabisa.
 
VITIMBI VYA MAYAHUDI VIMEZUA BAA DUNIANI!!

Wakiristo wanasema Yesu aliuwawa na Mayahudi. Ni kweli? basi vipi wawe marafiki wao wakubwa? Waislamu wanaamini Mayahudi hawakufanikiwa njama zao dhidi ya Yesu, Mungu alimnusuru mjumbe wake. Labda ndio moja ya Waislamu kuwaona Mayahudi ni maadui, ukiacha waislamu kufukuzwa katika miji yao na nyumba zao na kuuliwa kila kukicha.

Mhhh vitimbi vya mayahudiiiiiiiiii
 
to say the truth mada kama hii ni nzuri sana as ingeweza pata kuwa mdahalo mzuri saana na tungeweza jua mengi ziaid ya hata tujuayo as chini ya jua kila kitu ni possible...Mungu tu ndie anayejua ukweli wa kila kitu...

sasa kama mada hii ingeazishwa na mtu mwenye hekima nzuri na asiye na jazba na chuki na dini nyingine ndio ingependeza zaidi maana sioni kama ya relate na dini flani as kwa kusema kwa vile ni nchi fulani basi tuseme ni wakristo..sasa niwaulize swali nyie mshabiakiao topic hii kidini je wakati huo raisi wa marekani angekua mwislam mngesemaje??
msipende kila kitu mkakidrive mpendavyo nyie na kutaka kila mtu akubaliane nanyi...

ujue kuna watu wengine ambao wanajua mambo mengi kuhusiana na hili suala lakini kwa vile tuu imeanzishwa kidini na jazba na ki chuki basi mtu haoni hata umuhimu wa kuchangia..as always mabishano yakishahusu dini ama siasa...ikishatokea tuu watu wako pande mbili tofauti ni vigumu sana kuisha as kila mtu huamini kwake tu ndio bora
 
VITIMBI VYA MAYAHUDI VIMEZUA BAA DUNIANI!!

Wakiristo wanasema Yesu aliuwawa na Mayahudi. Ni kweli? basi vipi wawe marafiki wao wakubwa? Waislamu wanaamini Mayahudi hawakufanikiwa njama zao dhidi ya Yesu, Mungu alimnusuru mjumbe wake. Labda ndio moja ya Waislamu kuwaona Mayahudi ni maadui, ukiacha waislamu kufukuzwa katika miji yao na nyumba zao na kuuliwa kila kukicha.

Mhhh vitimbi vya mayahudiiiiiiiiii

mie mnanifurahisha mnavyohubiri bible...yaani mnakua na ile tabia ya sitaki nataka..mnajisikia kuvutwa flani na neno la Mungu Bible..lakini mwasita sita..
sasa naomba tukubaliane kwa hili kama waamini Yesu kwanza yupo..alafu ukaamini Mayahudi walimuua then naomba uzidi kukubali kuwa Alifufuka maana si nyie wenyewe huwa mnapinga hiyo habari ya Yesu kusulubiwa?iweje uulize swali hilo sasa?it means kwenye nafsi yako kuna hali flani ya kukubali habari za kweli za Yesu na sie huyo Issa mnayejaribu kumfananisha na Yesu alaf hafiti hata kidogo..
 
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Qur'an 5:51
 
He. i tought tunajadili 9/11 kumbe ni Yesu. Makubwa. Mod iweke kwenye dini hii, naona ishaingia virus.
 
Back
Top Bottom