pole sana dada.Nilivyo flatscreen nyuma siangaliwi kabisa.
pole sana dada.Nilivyo flatscreen nyuma siangaliwi kabisa.
Nimehisi huruma, ila uckate tamaa, beauty is on the eyes of beholder, ila uharaka wa kutamanika uwe na mzigo hivi, huu ndio ukweli, na mahusiano yanaanza na kutamaniana, makalio huongeza matamanio more & more, hasa ukiwa na kiuno kidogo weeeeSasa sisi namba moja, tunaangaliwa nini jamani. Dah ngoja nizidishe kipimo cha dona. Sijui itasaidia...
Dah, nimecheka hadi basi, eti unaona huruma. Duu ngoja niende kwa mchina fasta.Nimehisi huruma, ila uckate tamaa, beauty is on the eyes of beholder, ila uharaka wa kutamanika uwe na mzigo hivi, huu ndio ukweli, na mahusiano yanaanza na kutamaniana, makalio huongeza matamanio more & more, hasa ukiwa na kiuno kidogo weeee
Ila ya mchina be careful, unaweza kuwa na **** moja kubwa kuliko lingine, fuata masharti vizuri na usitumie dawa yote, it is risky somehow, ila wanawake wengiii hapa Dar wamefanikiwa, wana mkia hao wa kufa mtuDah, nimecheka hadi basi, eti unaona huruma. Duu ngoja niende kwa mchina fasta.
Hongera zako, tumia vizuri kama unayo ya kutosha LD, maana kuwa nayo ni step moja forward, is it useful? Ooops sorry kama nimeenda mbali nivumilieKumbe ninayo bwana, kuna mtu hapa nimemuliza kaniambia ipo ya kutosha tu, ila nijatahidi kuibana. Kwa hiyo kesho ntapitia vimbano viwili vitatu, ukinikuta lazima ugeuke.
mwanamke nyonga makalio majaaliwa!!! tunajua wanaume mmeumbwa kutamani ndio maana macho yenu huwa hayatulii. lakini let me remind u one thing 'si kila king"aacho ni dhahabu" si kila mwenye makali analipa kama mnavyodai
Dah, hizo step nyingine ngoja ni mtafute Maria Roza. Au na ww ni mwalimu mzuri?Hongera zako, tumia vizuri kama unayo ya kutosha LD, maana kuwa nayo ni step moja forward, is it useful? Ooops sorry kama nimeenda mbali nivumilie
Ahahahaaaah!!! Acha vituko wewe....asante kwa taarifa....skuizi ntakuwa natembea na ungo..nikiona nataka kupishana na wanaume basi najifunika na ungo pale nyuma...
khaaa!Wake nao basi walipize kwa kuangalia waume mbele,kiasi gani wamependelewa?
muhanga hujambo bidada.........................?