Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 36,775
- 83,948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado zipo au wameishapeanana kutoa tangazo kama geresha?
Hizo nafasi zinapatikana kwa uwazi kabisaaaa. Nina washkaji zangu wapo pale bila upendeleo.Bado zipo au wameishapeanana kutoa tangazo kama geresha?
Taratibu mambo kumbe yanabadilika. Vijana changamkieni ajira basi.Hizo nafasi zinapatikana kwa uwazi kabisaaaa. Nina washkaji zangu wapo pale bila upendeleo.
Miaka ya nyuma walikuwa hawatangazi bali wanaenda vyuoni kuomba wale wanafunzi wenye GPA nzuri kisha wanafanyiwa Interview wanachukuliwa.
ukisikia bongo nyoso ndo hapa na si ajabu uka ambiwa tayar kuna watu wanapiga mzigo uko tayarHivi hizi nafasi hawajaita tu bado?
ukisikia bongo nyoso ndo hapa na si ajabu uka ambiwa tayar kuna watu wanapiga mzigo uko tayar
Upo Mkoa Gani?Kama ni kupeleka maombi 'physically'. Kwa DSM, BoT ipo wapi Ndugu zangu?