787 dreamliner katika hatua za mwisho za umaliziwaji

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,002
WAKUYE WAKUYEYE BABA JPM

LLAZIMA UONDOKE 2025 NA HISTORIA
FB_IMG_1569326960363.jpg

MUNGU AKUBARIKI SANAA
 
Dah.

Misplaced priorities zinatutesa sana. Instead of the regime tackling the root issues za mtanzania na establishing sustainable systems, inafanya vitu vya kuonekana kwa macho na kuonyesha kwa kidole, regardless of their impact on the bigger picture.
 
Dah.

Misplaced priorities zinatutesa sana. Instead of the regime tackling the root issues za mtanzania na establishing sustainable systems, inafanya vitu vya kuonekana kwa macho na kuonyesha kwa kidole, regardless of their impact on the bigger picture.
Kupanga ni kuchagua.Sasa ni kununua ndege
 
Hakuna kitu kinainua nchi kimataifa na kujulikana kama michezo, uchumi, kijeshi, utalii nk. Ila nimegundua hata hivi vyombo (ndege) zikiwa nje ya nyumbani hutangaza nchi.

Ni fahari sana ukiwa nje ya nchi yako ukaona chombo kutoka kwenu kimetua kwenye eneo hilo.
 
Hakuna kitu kinainua nchi kimataifa na kujulikana kama michezo, uchumi, kijeshi, utalii nk. Ila nimegundua hata hivi vyombo (ndege) zikiwa nje ya nyumbani hutangaza nchi.

Ni fahari sana ukiwa nje ya nchi yako ukaona chombo kutoka kwenu kimetua kwenye eneo hilo.
Kweli mkuu ina raha yake,ingawa pia ni moja ya vyanzo vinavyoinua uchumi kwa kasi kama biashara ni nzuri...
 
Hakuna kitu kinainua nchi kimataifa na kujulikana kama michezo, uchumi, kijeshi, utalii nk. Ila nimegundua hata hivi vyombo (ndege) zikiwa nje ya nyumbani hutangaza nchi.

Ni fahari sana ukiwa nje ya nchi yako ukaona chombo kutoka kwenu kimetua kwenye eneo hilo.
Ni fahari kuona chombo Nje ya Nchi yako kutoka kwenu?
Je ni fahari kusikia Nchi yako inabana uhuru, demokrasia, katiba kanyaga, watu kutekwa na kupotezwa, umasikini usiseme, ajira ndo kabisa, afya hali ya wana siasa pinzani?
 
Ni fahari kuona chombo Nje ya Nchi yako kutoka kwenu?
Je ni fahari kusikia Nchi yako inabana uhuru, demokrasia, katiba kanyaga, watu kutekwa na kupotezwa, umasikini usiseme, ajira ndo kabisa, afya hali ya wana siasa pinzani?
Wewe kilema wa ubongo nimezungumzia suala la usafiri wa ndege unavyotangaza taifa nje ya mipaka ya nchi.

Hilo suala la demokrasia, siasa na afya beba familia yako ukalalamike mahakamani.
 
Endelea kukanyaga gia Magu...wengi wameshakuelewa kwa sasa...tunaisubiria kwa shauku kubwa hiyo dreamliner..umeweza pale palipokuwa pameshindikana...!!
 
Dah.

Misplaced priorities zinatutesa sana. Instead of the regime tackling the root issues za mtanzania na establishing sustainable systems, inafanya vitu vya kuonekana kwa macho na kuonyesha kwa kidole, regardless of their impact on the bigger picture.
Huwaga ni nini kipaumbele chenu mnachoitaka serikali itekeleze?

Mbona karibia vipaumbele vyote vya taifa vimeguswa safari hii?

Wakati serikali zilizopita zilizokuwa zimejaa wapigaji, tulisikia raia wakilaani matumizi makubwa ya fedha za serikali, kuliko fedha za maendeleo!

Shirika la ndege, reli, meli vyote vilikuwa ukingoni kubakia historia.

Sasa utawala huu unayarejesha yote hayo kwa dhamira ya kweli, lakini raia hatuoni hayo kwa kuvaa miwani ya mbao safarini kwa makusudi!

Nionavyo, kelele zikianza kupigwa unapoanzisha ujenzi hata wa makazi binafsi, ongeza kasi ya utekelezaji.

Hautakiwi kuzisikiliza, ukisikiliza namna zinavyopazwa kama ushauri, zaweza kukukatisha tamaa na kushindwa kufikia lengo.

Ushauri unaoingizwa katikati ya utekelezaji wa maamuzi yaliyokwishafikiwa, huwa siyo ushauri bali ni za husda na inda, hazistahili kusikilizwa, kufuatwa wala kuaminiwa.

Hii formula ya kuficha mipango yako ya maendeleo, kumbe ina mashiko, ili hata kama familia yako wana ushauri wa hovyo, waje waone tu kitu kimetokea.

maana shetani hukasirika sana hasa unapojipiga kifua na kutoka hadharani na kusema: 'mimi ninafanya hiki' ambacho wao hawana uwezo wa kukifanya!
 
Hakuna kitu kinainua nchi kimataifa na kujulikana kama michezo, uchumi, kijeshi, utalii nk. Ila nimegundua hata hivi vyombo (ndege) zikiwa nje ya nyumbani hutangaza nchi.

Ni fahari sana ukiwa nje ya nchi yako ukaona chombo kutoka kwenu kimetua kwenye eneo hilo.
Kweli kabisa miaka hiyo nikisoma kampala,uganda ulikua ukiona gari namba TZ zilikua ni best moment that made you feel at home!!
 
Hakuna kitu kinainua nchi kimataifa na kujulikana kama michezo, uchumi, kijeshi, utalii nk. Ila nimegundua hata hivi vyombo (ndege) zikiwa nje ya nyumbani hutangaza nchi.

Ni fahari sana ukiwa nje ya nchi yako ukaona chombo kutoka kwenu kimetua kwenye eneo hilo.
Santino ukiwa nje ya nchi unashinda airport? Anyway kwa kiasi kikubwa nakubaliana nawewe ukienda nchi za wenzetu swali la kwanza "umekuja na usafiri gani"? mimi sehemu fulani miaka hiyo ya nyuma nilijibu "Ethiopian airline" likaja swali lingine la kebehi "don't you have your national carrier"? Sasa nikisafiri tena nitawajibu " we have Air Tanzania"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom