Kingdeeper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 262
- 160
Huwezi ipongeza serikali inafanya vzur Wakati unaona sisi tupo tofauti na Somalia... Serikal n wajibu wake watu sisi tukae Kwa amani... Na tuwe maisha mazuri sasa unapoona mambo yanakua kinyume sema acha usengee
Eti unapata pesa usemee unapata ili iwejee Hakuna pesa sema ili upate pesa acha usengee
Mafanikio hayatangazwi yanaonekana tu alafu tunayaishi Usicheke na musengeee..
JPM anasaka mafanikio sasa anapoambiwa kitu akomolewi yy mwenyewe anaelewa sasa ww uku Eti unataka ujitangazee upo vzur tutakuona hamna hajaa ya kujitangaza ila ukiwa na matatizo yasemee utasaidiwa acha upapac Dogo
Eti unapata pesa usemee unapata ili iwejee Hakuna pesa sema ili upate pesa acha usengee
Mafanikio hayatangazwi yanaonekana tu alafu tunayaishi Usicheke na musengeee..
JPM anasaka mafanikio sasa anapoambiwa kitu akomolewi yy mwenyewe anaelewa sasa ww uku Eti unataka ujitangazee upo vzur tutakuona hamna hajaa ya kujitangaza ila ukiwa na matatizo yasemee utasaidiwa acha upapac Dogo