7 things Bill Gates predicted 18 years ago that have already come true

Hahaha, we utakuwa muhenga bila shaka.

Tena wa Tritel, wala si Mobitel.

Umechajiwa minutes kwa US dollar.
He he heee.
Nilikuwa na lile motorola kubwaaaa
Aiseee
 
Bill hanaga neno na NTU lakini
Bill mafia microsoft kaua kampuni ndogo nyingi na alikuwa na makesi kibao mfano netscape, alipotaka kununua browser wakamgomea akaamua atoe windows ikiwa na browser ya bure kabisa ya internet explorer netscape ikafa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Na kapigika vibaya sana maana yeye alikuwa mtaalamu wa kutengeneza slot mashine zile za gambling, so pia hakuwahi kuwaza kama apple itakuja kuwa kubwa hivyo.
Baada ya kuondoka apple walimaliza miaka kibao hawawasiliani na steve ila wakati wa uzinduzu wa iphone ya kwanza, anadai from no where akapokea simu toka kwa steve akamwambia amemwandalia tiketi ya ndege go and return na accomodation aende kuhudhuria kuzinduliwa kwa simu ya iphone.
Jamaa akahisi dah steve kanikumbuka kuna something behind it.
Na kweli akaenda kufika kwenye uzinduzu steve akiwa stejini anashusha vitu, mzee akakuta kumbe na wozniak kaalikwa wakawa pamoja wanasubiri steve ashuke wapate piga story labda kuna la ziada.
Eti alishangaa alipoteremka baada ya uzinduzi aliwafuata akawambia kuwa it was nice meeting them basi akaondoka.
Mzee anasema ilikuwa kama kunwambia kilichokuleta kimeisha sepa.
Aiseeee.
Bora steve kafa pia angewazingua sana pia wanaumia kwa mafanikio ya apple.
 
Bill mafia microsoft kaua kampuni ndogo nyingi na alikuwa na makesi kibao mfano netscape, alipotaka kununua browser wakamgomea akaamua atoe windows ikiwa na browser ya bure kabisa ya internet explorer netscape ikafa

Bwana kweli,hata mie nna miaka sijatumi explorer.
Na baadh ya sites wanashauri kabisa kukwambia explorer haitumiki.
Kweli Gastes ni Mafia
 
Aiseeee.
Bora steve kafa pia angewazingua sana pia wanaumia kwa mafanikio ya apple.
Sema jamaa wacha awe tajir maana kafail sana maishani hata alipoanzisja NEXTstep alitengeneza pc zikawa zina bei zaidi ya milion 16 ya kibongo just imagine.
Watu wangapi wangenunua, so zikafail akaamua a deal na kudevelope softwares ndo akatengeneza OS ambapo macntosh imebase kwenye hiyo OS steve aliintroduce misingi ya hiyo OS kuanzia ile tray muonekano na mengine aliporidi apple
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Aiseeee.
Bora steve kafa pia angewazingua sana pia wanaumia kwa mafanikio ya apple.
Sema jamaa wacha awe tajir maana kafail sana maishani hata alipoanzisja NEXTstep alitengeneza pc zikawa zina bei zaidi ya milion 16 ya kibongo just imagine.
Watu wangapi wangenunua, so zikafail akaamua a deal na kudevelope softwares ndo akatengeneza OS ambapo macntosh imebase kwenye hiyo OS steve aliintroduce misingi ya hiyo OS kuanzia ile tray muonekano na mengine aliporidi apple
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sema jamaa wacha awe tajir maana kafail sana maishani hata alipoanzisja NEXTstep alitengeneza pc zikawa zina bei zaidi ya milion 16 ya kibongo just imagine.
Watu wangapi wangenunua, so zikafail akaamua a deal na kudevelope softwares ndo akatengeneza OS ambapo macntosh imebase kwenye hiyo OS steve aliintroduce misingi ya hiyo OS kuanzia ile tray muonekano na mengine aliporidi apple
so mkuu unataka kusema stev hadi anakufa alikuwa si mmiliki wa apple bali mwanzilishi tu?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sema jamaa wacha awe tajir maana kafail sana maishani hata alipoanzisja NEXTstep alitengeneza pc zikawa zina bei zaidi ya milion 16 ya kibongo just imagine.
Watu wangapi wangenunua, so zikafail akaamua a deal na kudevelope softwares ndo akatengeneza OS ambapo macntosh imebase kwenye hiyo OS steve aliintroduce misingi ya hiyo OS kuanzia ile tray muonekano na mengine aliporidi apple
PC 16 mil
Hata USA asingeuza
 
so mkuu unataka kusema stev hadi anakufa alikuwa si mmiliki wa apple bali mwanzilishi tu?
Alikuwa na shares bado lakini hakuwa major share holder nadhani hata shares zake hazifiki 1% ya share zote za apple.
Sema alikuwa ana shares 7.5% kwenye kampuni ya Disney baada ya kuwauzia Pixar Animations wakampa ela na shares pia
 
Alikuwa na shares bado lakini hakuwa major share holder nadhani hata shares zake hazifiki 1% ya share zote za apple.
Sema alikuwa ana shares 7.5% kwenye kampuni ya Disney baada ya kuwauzia Pixar Animations wakampa ela na shares pia
so tuseme na yeye aliona kuwa safari ya apple isingekuwa ya matumaini akaamua kukacha mapema siyo?
 
so tuseme na yeye aliona kuwa safari ya apple isingekuwa ya matumaini akaamua kukacha mapema siyo?
Hapana steve alimkaribisha aliyekuwa Ceo wa pepsi by the time, anitwa john sculley aje afanyie kazi apple.
Kumbuka by the time apple ilikuwa ishaenda public so walikuwa washauza shares kuna wawekezaji na shareholder wengi.
Later kutokana na misinamo na mitazamo ya steve, shareholders wakaona steve anazingua wakataka a step down huyo John ndiye ashike uskani steve akamaind akaondoka apple na akauza share zake nyingi akaenda anzisha kampuni yake inaitwa NEXTstep na akanunua kampuni ya graphics Pixar na kuwa major shareholder wa Pixar akaibadili kuwa kampuni ya animations iki compete na Disney.
Walimrudisha mwaka 1997 kipindi hichi apple taaabani inakula loss tu.
 
Back
Top Bottom