guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
- Thread starter
- #21
That means the song ain't for yaNimesikia nyimbo mara 7 sielewi nini kinaendelea naona hasira tu.
That means the song ain't for yaNimesikia nyimbo mara 7 sielewi nini kinaendelea naona hasira tu.
Like beauty is in the eyes of beholder thing? Anyway reminds me of N.W.A group straight out of compton.That means the song ain't for ya
Good for ya hommieLike beauty is in the eyes of beholder thing? Anyway reminds me of N.W.A group straight out of compton.
The Complete History of Tekashi 6ix9ine’s Controversial CareerNipeni historia yake kidogo maana hata simjui
Katolewa kisa coronavirus.
Wana inferiority complex,wanaamin wakifanya crime itawafanya wajione wamekamilika,wagumu na mashababiSijui kwanini black community inaunga sana mkono crime, yani jamaa anapondwa kwa kuwataja wenzake waliokuwa wanafanya uharifu.
Na mbaya zaidi wanaua, wanateka wanaiba, madawa wanauwauzia hao hao ma black.
Kitambo sana,ila ana kifungo cha nje
Sawa mkuuHuyu bwege amebebwa na lockdown na kiki ya kutoka jela. Huwezi linganisha Eminem na utopolo wa aina hii. Ngoma yake ninayoikubali ni Tic Toc akimshirikisha Lil Baby kwenye album ya Dummy Boy.