6ix9ine avunja rekodi ya EMINEM ya video iliyoangaliwa kwa wingi ndani ya siku moja.

Sijui kwanini black community inaunga sana mkono crime, yani jamaa anapondwa kwa kuwataja wenzake waliokuwa wanafanya uharifu.
Na mbaya zaidi wanaua, wanateka wanaiba, madawa wanauwauzia hao hao ma black.
 
Huyu bwege amebebwa na lockdown na kiki ya kutoka jela. Huwezi linganisha Eminem na utopolo wa aina hii. Ngoma yake ninayoikubali ni Tic Toc akimshirikisha Lil Baby kwenye album ya Dummy Boy.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Sijui kwanini black community inaunga sana mkono crime, yani jamaa anapondwa kwa kuwataja wenzake waliokuwa wanafanya uharifu.
Na mbaya zaidi wanaua, wanateka wanaiba, madawa wanauwauzia hao hao ma black.
Wana inferiority complex,wanaamin wakifanya crime itawafanya wajione wamekamilika,wagumu na mashababi
 
Back
Top Bottom