Kama sitta uliweza kutetea hoja zako wakati wa hayati mwalimu na ukalambwa viboko pale ikulu wakati ukiwa mwanafunzi wa udsm,sasa unashindwa nini kuondoka ccm na kuonyesha misimamo yako? usogope kutetea ukweli na kusimamia haki kwa kuhofia kuonekana msaliti, tena wakati ule hapakuwa na vyama vingi wala mbadala wa ccm,sasa leo kuna mbadala na kama unaona umeonewa/ kuchakachuliwa na mafisadi unagonja nini kuhama na kuachana nao,maana mapinduzi yoyote yawe ya kiuchumi,kisiasa au kijamii yana gharama zake.Tafuta njia ya kweli katika utetea kile unacho kiamini na usipoteze muda kwa kuogopa lawama zisizo na msingi.amua kuwa fisadi au mwana mapinduzi wa kweli.