Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
Nilivyoelewa Ni kwamba zote 2400/500 Ni dola 1 ya marekani..Apa ndugu yangu sijakuelewa kusema 2400 itafanya manunuzi mengi kuliko 500 si ni sawa kwa sababu 2400 ni zaid ya mara nne kwa 500 ,au sijaelewa wap
Inatakiwa Kama 500 ya Zimbabwe inanunua lita moja ya petrol Basi na 2400 ya Tanzania inunue lita 1 ya petrol..
Lakini Kama lita 1 ya petrol huko Zimbabwe Ni 3000 ya Zimbabwe.. Basi hela ya Tanzania kwenye uhalisia itakuwa na thamani kuliko ya Zimbabwe