My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Hauwezi kukua, Kwa Taarifa yako ni intelligence ya serikali ndo imewalamba risasi hao waislamu, wakikaidi na kwenda tena msikitini watauawa tena Kwa risasi na kisha serikali itasema kuwa tuliwaonya wasiende misikitini Kwa usalama wao wakapuuza, wazungu na Uislam ni maji na mafutaTangazo la Serikal linataka Waislam Wasiende Kwenye Msikiti wowote kuabudu kuepuka Mashambukizi sio Mamlaka kuongeza Ulinzi maeneo ya Ibada ili kuzuia Mashambulizi
Uislam utakuwa kwa haraka Sana New Zealand katika Siku Za karibuni trend inaonesha hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app