Ulinganifu hauwezi kuletwa na rais. Samia anatakiwa aelewe amefikaje hapo na ajiulize je, angejaribu kuomba urais wa Z’bar angeupata? Sasa anaanza kulazimisha kabla ya kuondoa mfumo na vikwazo vilivyo mbele ya wanawake. Tunajua atawateua lakini watatuangusha. Tunawaona bado wakifundishwa uvaaji wa heshima, siyo kwamba hawajui, bali wanahangika kuwavutia wanaume.
Hatua iliyo bora ni hiyo ya kuanzisha shule za wasichana za boarding, siyo kila mkoa, iwe ni kila Wilaya. Haya mengine unayoita 50/50 yataishia kuwachagua marafiki zako wa huko kwenye NGO tu na watakuja na mavazi yao ya kuiga u-zungu u-zungu wakiamini ndo maendelao.
Hatua iliyo bora ni hiyo ya kuanzisha shule za wasichana za boarding, siyo kila mkoa, iwe ni kila Wilaya. Haya mengine unayoita 50/50 yataishia kuwachagua marafiki zako wa huko kwenye NGO tu na watakuja na mavazi yao ya kuiga u-zungu u-zungu wakiamini ndo maendelao.