50/50 inayotafutwa haina msingi zaidi ya kufahamiana na kujuana

Katika vitu ambavyo mhe. Rais Samia ameanza vibaya mno ni hiyo ya 50/50. Atakuja kusimulia jinsi ambavyo alikosea atakapoacha urais. Anatenda kana kwamba bado ni mwanaharakati katika NGO enzi ziilee!!! akiwa bado hajavaa mkitandio akiwa kwenye makongamano, warsha nk. Juzi nimeshangaa mhe . Mulamula hawezi kusoma figure za bajeti za wizara yake, sasa mtu hata figure za trilioni na bilioni na mama ya mamilioni hawezi kuyasoma huyu I doubt ni shoga yake aliwahi kumkarimu huko majuu N. York kwenye harakati za kusave per diem alipoenda kwenye mikutano nadhani. Practically katika viongozi bora wa miaka ya 1980's kule uingereza alitokea mama Margaret Thatcher ambaye alikuwa waziri mkuu aliyeongoza kwa miaka 12 mfululizo na hamna mwenye rekodi hiyo siku za karibuni nchi ile. Thatcher hakuteua mwanamke hata mmoja kwenye baraza la mawaziri. Waandishi walimtania kuwa baraza lake lina mwanaume mmoja na wanawake waliobakki(vice versa). Sikuelewa mantiki yake lakini mwanamke mpaka awe efficient lazima jukumu la maumbile (kuzaa) lazima asacrifice. Hata mama Samia kama usingekuwa ushabiki wa gender balance urais wa kupambania kama JMKkikwete angeusikia kwenye bomba. Sasa kama amefika pale halafu anataka awainue kina mama wote ni Kazi hatoiseza. Kea kipindi chake atawawezesha hatukatai lakini bass yake maji yatafind it's own level. Hivi anataka ashindane na Kagame kwa hilo ,wakati mwenzie kule anakwepa influence ya wanaume kwenye jamii. Hatukatai wanaweza wakawa hata 41 kwa 59 , lakini kumlazimisha 50/50 hapana mhe Samia hiyo crusade ni false start. Katika vitu ambavyo anavipigania na vitaleta athari(legacy) mbaya kwake ni viwili(1)gender balance(2)usawa wa Tanganyika na Zanzibar. Haya ajiandae watu kudai serikali ya Tanganyika chini ya utawala wake. Fikiria mtu kama Warioba aliwahi kutamka wazi kuwa muungano hauna faida yoyote ila kwa wakubwa juu kugawana vyeo. Hii ilfanya Nyerere asimuunge mkono Warioba kuwania urais 1995, akamwambia asubiri serikali ya Tanganyika ndio anaweza kuwa Rais. Kwa hiyo muungano na usawa kijinsia ni mambo sensitive sana yanatakiwa handling ya tahadhari mno sio kea sweeping statement za sasa. Mengine anatenda vizuri tu hadi leo.Rais Samia anaweza kuwa Rais bora tangu tupate uhuru kwani ni kudra za Mungu kaipata ile nafasi ,hana deni na mtu kufika pale. Afanye maamuzi sahihi tu basi. Biasness aache kwa kundi lolote atafanikiwa.
UKweli ni kwamba kama ni kuhongwa madaraka, wakati wa Kikwete walihongwa. Wako wapi? Nani aliyeweza kuonesha umahili wake? Bungeni nilimuona Anna Makinda akionesha ukomavu Wengine ni hoi tu wakaanza hata kupigana vijembe; Mara Ghasia anasema hivi, Mhagama anasema vile! Hooovyo!

Ukiwasikia wazoefu akina Mongela ambao nao walibebwa kwa miaka mingi, sasa wanazungumzia minyoo na kufundisha watu kutongoza! Hawa!
 
Katika vitu ambavyo mhe. Rais Samia ameanza vibaya mno ni hiyo ya 50/50. Atakuja kusimulia jinsi ambavyo alikosea atakapoacha urais. Anatenda kana kwamba bado ni mwanaharakati katika NGO enzi ziilee!!! akiwa bado hajavaa mkitandio akiwa kwenye makongamano, warsha nk. Juzi nimeshangaa mhe . Mulamula hawezi kusoma figure za bajeti za wizara yake, sasa mtu hata figure za trilioni na bilioni na mama ya mamilioni hawezi kuyasoma huyu I doubt ni shoga yake aliwahi kumkarimu huko majuu N. York kwenye harakati za kusave per diem alipoenda kwenye mikutano nadhani. Practically katika viongozi bora wa miaka ya 1980's kule uingereza alitokea mama Margaret Thatcher ambaye alikuwa waziri mkuu aliyeongoza kwa miaka 12 mfululizo na hamna mwenye rekodi hiyo siku za karibuni nchi ile. Thatcher hakuteua mwanamke hata mmoja kwenye baraza la mawaziri. Waandishi walimtania kuwa baraza lake lina mwanaume mmoja na wanawake waliobakki(vice versa). Sikuelewa mantiki yake lakini mwanamke mpaka awe efficient lazima jukumu la maumbile (kuzaa) lazima asacrifice. Hata mama Samia kama usingekuwa ushabiki wa gender balance urais wa kupambania kama JMKkikwete angeusikia kwenye bomba. Sasa kama amefika pale halafu anataka awainue kina mama wote ni Kazi hatoiseza. Kea kipindi chake atawawezesha hatukatai lakini bass yake maji yatafind it's own level. Hivi anataka ashindane na Kagame kwa hilo ,wakati mwenzie kule anakwepa influence ya wanaume kwenye jamii. Hatukatai wanaweza wakawa hata 41 kwa 59 , lakini kumlazimisha 50/50 hapana mhe Samia hiyo crusade ni false start. Katika vitu ambavyo anavipigania na vitaleta athari(legacy) mbaya kwake ni viwili(1)gender balance(2)usawa wa Tanganyika na Zanzibar. Haya ajiandae watu kudai serikali ya Tanganyika chini ya utawala wake. Fikiria mtu kama Warioba aliwahi kutamka wazi kuwa muungano hauna faida yoyote ila kwa wakubwa juu kugawana vyeo. Hii ilfanya Nyerere asimuunge mkono Warioba kuwania urais 1995, akamwambia asubiri serikali ya Tanganyika ndio anaweza kuwa Rais. Kwa hiyo muungano na usawa kijinsia ni mambo sensitive sana yanatakiwa handling ya tahadhari mno sio kea sweeping statement za sasa. Mengine anatenda vizuri tu hadi leo.Rais Samia anaweza kuwa Rais bora tangu tupate uhuru kwani ni kudra za Mungu kaipata ile nafasi ,hana deni na mtu kufika pale. Afanye maamuzi sahihi tu basi. Biasness aache kwa kundi lolote atafanikiwa.

Muyovozi labda una point nzuri, lakini weka paragraph, itakuwa rahisi kusoma watasoma na wengi.
 
Katika vitu ambavyo mhe. Rais Samia ameanza vibaya mno ni hiyo ya 50/50. Atakuja kusimulia jinsi ambavyo alikosea atakapoacha urais. Anatenda kana kwamba bado ni mwanaharakati katika NGO enzi ziilee!!! akiwa bado hajavaa mkitandio akiwa kwenye makongamano, warsha nk. Juzi nimeshangaa mhe . Mulamula hawezi kusoma figure za bajeti za wizara yake, sasa mtu hata figure za trilioni na bilioni na mama ya mamilioni hawezi kuyasoma huyu I doubt ni shoga yake aliwahi kumkarimu huko majuu N. York kwenye harakati za kusave per diem alipoenda kwenye mikutano nadhani. Practically katika viongozi bora wa miaka ya 1980's kule uingereza alitokea mama Margaret Thatcher ambaye alikuwa waziri mkuu aliyeongoza kwa miaka 12 mfululizo na hamna mwenye rekodi hiyo siku za karibuni nchi ile. Thatcher hakuteua mwanamke hata mmoja kwenye baraza la mawaziri. Waandishi walimtania kuwa baraza lake lina mwanaume mmoja na wanawake waliobakki(vice versa). Sikuelewa mantiki yake lakini mwanamke mpaka awe efficient lazima jukumu la maumbile (kuzaa) lazima asacrifice. Hata mama Samia kama usingekuwa ushabiki wa gender balance urais wa kupambania kama JMKkikwete angeusikia kwenye bomba. Sasa kama amefika pale halafu anataka awainue kina mama wote ni Kazi hatoiseza. Kea kipindi chake atawawezesha hatukatai lakini bass yake maji yatafind it's own level. Hivi anataka ashindane na Kagame kwa hilo ,wakati mwenzie kule anakwepa influence ya wanaume kwenye jamii. Hatukatai wanaweza wakawa hata 41 kwa 59 , lakini kumlazimisha 50/50 hapana mhe Samia hiyo crusade ni false start. Katika vitu ambavyo anavipigania na vitaleta athari(legacy) mbaya kwake ni viwili(1)gender balance(2)usawa wa Tanganyika na Zanzibar. Haya ajiandae watu kudai serikali ya Tanganyika chini ya utawala wake. Fikiria mtu kama Warioba aliwahi kutamka wazi kuwa muungano hauna faida yoyote ila kwa wakubwa juu kugawana vyeo. Hii ilfanya Nyerere asimuunge mkono Warioba kuwania urais 1995, akamwambia asubiri serikali ya Tanganyika ndio anaweza kuwa Rais. Kwa hiyo muungano na usawa kijinsia ni mambo sensitive sana yanatakiwa handling ya tahadhari mno sio kea sweeping statement za sasa. Mengine anatenda vizuri tu hadi leo.Rais Samia anaweza kuwa Rais bora tangu tupate uhuru kwani ni kudra za Mungu kaipata ile nafasi ,hana deni na mtu kufika pale. Afanye maamuzi sahihi tu basi. Biasness aache kwa kundi lolote atafanikiwa.
cc SAMIA SULUHU HASASAN.

KAMA ANA HEKIMA ZA KUTOSHA ATACHUKUA HUU USHAURI.
 
Subirini amteue Shilole na Jacquiline Ntuyabaliwe wakaungane na wale mala.ya wengine kina Magige kuwaletea maendeleo.

kkkkkk
 
Sera ya 50/50 katika nchi za kiafrika ni kizungumkuti.


Nashangazwa sana na wanaoshabikia umagharibi huu ambao essence yake ilianzia huko Beijing. FEMINISM KWA AFRICA BADO! Kwa mwanamama anayefahamu ninachokisema ataelewa, leo tunatengeneza kizazi cha hovyo kabisa hakuna kitu kibaya vizazi vijazwa vutatulaumu kama hizi movement, kwamba leo majukumu ya mwanaume yanalazimishwa yafanyike na mwanamke? Hatuoni chembe chembe za mfumo huu? Leo wapo wanaume wanalelewa hawajui hata kutafuta mahitaji na malezi kisa wamekuwa legelege na wameamua kushidana na wanawake zao kwani kama wao wanavyodai inapaswa nao wajitafutie yaani 50/50.



Leo wamepewa "power" badala ya kuitumia ipasavyo wanaleta MIPASHO! Hatari hii.


Goja tuendelee kutazama hii movie lakini kwangu ni mfumo dume TU !!
 
Wanawake wasaidiwe kuinuka. Wapewe haki za msingi kama za Urithi mme wake akifariki, kulindwa na sheria wasipigwe hovyo na wanaume.

Lakini 50/50 ni ngumu sababu mwanamke kama atazaa watoto 2,3, 4,5 atachukua miaka mitano kulea wakati mwanaume anaendelea na career yake. Baada ya miaka mitano mwanaume atakuwa mbali zaidi ya mwanamke.

Ndio sababu very ambitious women wana watoto wachache au hawana kabisa e.g Angel Merkel, Kamala Harris, Nicola Sturgeon, Hillary Clinton etc to concrentate fully in career.
 
Ulinganifu hauwezi kuletwa na rais. Samia anatakiwa aelewe amefikaje hapo na ajiulize je, angejaribu kuomba urais wa Z’bar angeupata? Sasa anaanza kulazimisha kabla ya kuondoa mfumo na vikwazo vilivyo mbele ya wanawake. Tunajua atawateua lakini watatuangusha. Tunawaona bado wakifundishwa uvaaji wa heshima, siyo kwamba hawajui, bali wanahangika kuwavutia wanaume.

Hatua iliyo bora ni hiyo ya kuanzisha shule za wasichana za boarding, siyo kila mkoa, iwe ni kila Wilaya. Haya mengine unayoita 50/50 yataishia kuwachagua marafiki zako wa huko kwenye NGO tu na watakuja na mavazi yao ya kuiga u-zungu u-zungu wakiamini ndo maendelao.
Kumbe ccm mnapinga Rais wenu,mvulugeni mtajuta zaliwa ,

Mama ssh ccm wakikuvuruga liache chama lao life, au fanya mahamuzi magum 2025 inawezekana
 
Nadhani tukubali kwamba viongozi wetu wana mapungufu kama binadamu wengine tulivyo. Wanastahili kukosolewa na siyo kutukuzwa. Sasa, tunaomba iwe bahati wakubali kukosolewa maana naamini kabisa maamuzi kama haya ya 50/50 ni akili yake na hata siamini kwamba ktk chama chao wamekubaliana kutimiza hilo kama anavyosema majukwaani.

Hiyo ni niya ya kila mtu kwa heshima ya binadamu wote lakini utekelezaji wake siyo kwa mtindo huo wa NGO! Hizi NGO zinaharibu watu wanageuka kuwa wanaharakati hadi kuetetea ushoga. Naamini bado wanamuangalia kwa mbali maana wameanza kumsifu sana. Akilewa sifa tu, wanajaribia ushoga na haki za raia.
 
Kuteua mtu kwasababu ya Jinsia, dini, mkoa, kanda, pande za Muungano haijawahi kuwa suluhisho kwa matatizo yoyote.

Mfano mimi Mama yangu yuko kijijini, hata Rais Samia akisema ateue wanawake tupu hilo litamsaidia nini ?

Hata akisema ateue mtu wa dini atamsaidia nini ?

Matatizo makubwa ya nchi hii siyo teuzi. Teuzi ni njia tu za kugawana keki ya taifa kitu ambacho hakina faida kwa wengi.

Anyway, Mwisho wa siku watu watakuja kuangalia matokeo ya utawala wako tu bila kujali uliteua kina nani.

Wakati huo watu watakuwa wanaongelea matatizo ya MAJI, AJIRA, BIASHARA, MIUNDOMBINU, SHULE, AFYA, MALAZI, HAKI, USALAMA. Hakuna atayekumbuka kuwa uliteua watu fulani.
Moja ya matokeo ya utawala wake yatakuwa ni 50/50, you cannot ignore gender issues in development process. Why? Wanawake ndio waathirika wakwanza wa athari za umasikini katika jamii, kuwawezesha wao kiuongozi ni kuongeza chachu ya kuufuta umasikini.
 
Sera ya 50/50 katika nchi za kiafrika ni kizungumkuti.


Nashangazwa sana na wanaoshabikia umagharibi huu ambao essence yake ilianzia huko Beijing. FEMINISM KWA AFRICA BADO! Kwa mwanamama anayefahamu ninachokisema ataelewa, leo tunatengeneza kizazi cha hovyo kabisa hakuna kitu kibaya vizazi vijazwa vutatulaumu kama hizi movement, kwamba leo majukumu ya mwanaume yanalazimishwa yafanyike na mwanamke? Hatuoni chembe chembe za mfumo huu? Leo wapo wanaume wanalelewa hawajui hata kutafuta mahitaji na malezi kisa wamekuwa legelege na wameamua kushidana na wanawake zao kwani kama wao wanavyodai inapaswa nao wajitafutie yaani 50/50.



Leo wamepewa "power" badala ya kuitumia ipasavyo wanaleta MIPASHO! Hatari hii.


Goja tuendelee kutazama hii movie lakini kwangu ni mfumo dume TU !!
Sio Afrika tu mkuu hata uko ulaya na America hakuna nchi ambayo imefanikiwa kwa % la 50/50 hiki kitu hakita kuja kutokea duniani
 
Moja ya matokeo ya utawala wake yatakuwa ni 50/50, you cannot ignore gender issues in development process. Why? Wanawake ndio waathirika wakwanza wa athari za umasikini katika jamii, kuwawezesha wao kiuongozi ni kuongeza chachu ya kuufuta umasikini.
Teuzi hazisaidii wanawake. Hata viti maalum havijasaidia wanawake kwa chochote.

Atakachofanya ni kuunda genge lake la wanawake ili waungane na wanaume wa mfumo dume kutafuna keki ya taifa.

Mwanamke atabaki na lundo la matatizo yale yale.
 
Katika vitu ambavyo mhe. Rais Samia ameanza vibaya mno ni hiyo ya 50/50. Atakuja kusimulia jinsi ambavyo alikosea atakapoacha urais. Anatenda kana kwamba bado ni mwanaharakati katika NGO enzi ziilee!!! akiwa bado hajavaa mkitandio akiwa kwenye makongamano, warsha nk. Juzi nimeshangaa mhe . Mulamula hawezi kusoma figure za bajeti za wizara yake, sasa mtu hata figure za trilioni na bilioni na mama ya mamilioni hawezi kuyasoma huyu I doubt ni shoga yake aliwahi kumkarimu huko majuu N. York kwenye harakati za kusave per diem alipoenda kwenye mikutano nadhani. Practically katika viongozi bora wa miaka ya 1980's kule uingereza alitokea mama Margaret Thatcher ambaye alikuwa waziri mkuu aliyeongoza kwa miaka 12 mfululizo na hamna mwenye rekodi hiyo siku za karibuni nchi ile. Thatcher hakuteua mwanamke hata mmoja kwenye baraza la mawaziri. Waandishi walimtania kuwa baraza lake lina mwanaume mmoja na wanawake waliobakki(vice versa). Sikuelewa mantiki yake lakini mwanamke mpaka awe efficient lazima jukumu la maumbile (kuzaa) lazima asacrifice. Hata mama Samia kama usingekuwa ushabiki wa gender balance urais wa kupambania kama JMKkikwete angeusikia kwenye bomba. Sasa kama amefika pale halafu anataka awainue kina mama wote ni Kazi hatoiseza. Kea kipindi chake atawawezesha hatukatai lakini bass yake maji yatafind it's own level. Hivi anataka ashindane na Kagame kwa hilo ,wakati mwenzie kule anakwepa influence ya wanaume kwenye jamii. Hatukatai wanaweza wakawa hata 41 kwa 59 , lakini kumlazimisha 50/50 hapana mhe Samia hiyo crusade ni false start. Katika vitu ambavyo anavipigania na vitaleta athari(legacy) mbaya kwake ni viwili(1)gender balance(2)usawa wa Tanganyika na Zanzibar. Haya ajiandae watu kudai serikali ya Tanganyika chini ya utawala wake. Fikiria mtu kama Warioba aliwahi kutamka wazi kuwa muungano hauna faida yoyote ila kwa wakubwa juu kugawana vyeo. Hii ilfanya Nyerere asimuunge mkono Warioba kuwania urais 1995, akamwambia asubiri serikali ya Tanganyika ndio anaweza kuwa Rais. Kwa hiyo muungano na usawa kijinsia ni mambo sensitive sana yanatakiwa handling ya tahadhari mno sio kea sweeping statement za sasa. Mengine anatenda vizuri tu hadi leo.Rais Samia anaweza kuwa Rais bora tangu tupate uhuru kwani ni kudra za Mungu kaipata ile nafasi ,hana deni na mtu kufika pale. Afanye maamuzi sahihi tu basi. Biasness aache kwa kundi lolote atafanikiwa.
Muyovozi umeyovoa vizuri sana.
 
Katika vitu ambavyo mhe. Rais Samia ameanza vibaya mno ni hiyo ya 50/50. Atakuja kusimulia jinsi ambavyo alikosea atakapoacha urais. Anatenda kana kwamba bado ni mwanaharakati katika NGO enzi ziilee!!! akiwa bado hajavaa mkitandio akiwa kwenye makongamano, warsha nk. Juzi nimeshangaa mhe . Mulamula hawezi kusoma figure za bajeti za wizara yake, sasa mtu hata figure za trilioni na bilioni na mama ya mamilioni hawezi kuyasoma huyu I doubt ni shoga yake aliwahi kumkarimu huko majuu N. York kwenye harakati za kusave per diem alipoenda kwenye mikutano nadhani. Practically katika viongozi bora wa miaka ya 1980's kule uingereza alitokea mama Margaret Thatcher ambaye alikuwa waziri mkuu aliyeongoza kwa miaka 12 mfululizo na hamna mwenye rekodi hiyo siku za karibuni nchi ile. Thatcher hakuteua mwanamke hata mmoja kwenye baraza la mawaziri. Waandishi walimtania kuwa baraza lake lina mwanaume mmoja na wanawake waliobakki(vice versa). Sikuelewa mantiki yake lakini mwanamke mpaka awe efficient lazima jukumu la maumbile (kuzaa) lazima asacrifice. Hata mama Samia kama usingekuwa ushabiki wa gender balance urais wa kupambania kama JMKkikwete angeusikia kwenye bomba. Sasa kama amefika pale halafu anataka awainue kina mama wote ni Kazi hatoiseza. Kea kipindi chake atawawezesha hatukatai lakini bass yake maji yatafind it's own level. Hivi anataka ashindane na Kagame kwa hilo ,wakati mwenzie kule anakwepa influence ya wanaume kwenye jamii. Hatukatai wanaweza wakawa hata 41 kwa 59 , lakini kumlazimisha 50/50 hapana mhe Samia hiyo crusade ni false start. Katika vitu ambavyo anavipigania na vitaleta athari(legacy) mbaya kwake ni viwili(1)gender balance(2)usawa wa Tanganyika na Zanzibar. Haya ajiandae watu kudai serikali ya Tanganyika chini ya utawala wake. Fikiria mtu kama Warioba aliwahi kutamka wazi kuwa muungano hauna faida yoyote ila kwa wakubwa juu kugawana vyeo. Hii ilfanya Nyerere asimuunge mkono Warioba kuwania urais 1995, akamwambia asubiri serikali ya Tanganyika ndio anaweza kuwa Rais. Kwa hiyo muungano na usawa kijinsia ni mambo sensitive sana yanatakiwa handling ya tahadhari mno sio kea sweeping statement za sasa. Mengine anatenda vizuri tu hadi leo.Rais Samia anaweza kuwa Rais bora tangu tupate uhuru kwani ni kudra za Mungu kaipata ile nafasi ,hana deni na mtu kufika pale. Afanye maamuzi sahihi tu basi. Biasness aache kwa kundi lolote atafanikiwa.
Vile vile na udini naona kama unaanza kuzaliwa taratibu.
 
Ulinganifu hauwezi kuletwa na rais. Samia anatakiwa aelewe amefikaje hapo na ajiulize je, angejaribu kuomba urais wa Z’bar angeupata? Sasa anaanza kulazimisha kabla ya kuondoa mfumo na vikwazo vilivyo mbele ya wanawake. Tunajua atawateua lakini watatuangusha. Tunawaona bado wakifundishwa uvaaji wa heshima, siyo kwamba hawajui, bali wanahangika kuwavutia wanaume.

Hatua iliyo bora ni hiyo ya kuanzisha shule za wasichana za boarding, siyo kila mkoa, iwe ni kila Wilaya. Haya mengine unayoita 50/50 yataishia kuwachagua marafiki zako wa huko kwenye NGO tu na watakuja na mavazi yao ya kuiga u-zungu u-zungu wakiamini ndo maendelao.
Wapo mbioni kupitisha sheria ya kuwaruhusu kuoa wanaume kwa lazima yaan tuwe km India pia wawe wasemaji wakuu wa familia zao hapo ndipo anguko litawajia na watamuacha mama ktk mataa,mwanamke abaki kuwa mama na mwanaume abaki kuwa baba
 
Back
Top Bottom