5 Ways Jinsi Poor Man Mentality Inavyokuzuia Kutengeneza Pesa Kwenye Hii Life. Na Jinsi Yakubadilika.

GLOBAL CITIZEN

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
767
1,655
Mambo vipi?

Leo Jumatano Sept 11 nataka nikuonyeshe njia 5 zinazokuzuia kutengeneza pesa yakueleweka kwenye haya maisha na jinsi unavyoweza kubadilika kwa muda mfupi tu.

Nataka uone mwenyewe na ujipime ili ukifanya maamuzi yakubadilika basi you change for good na kuanzia hapo money will come your way easily.

Kwanza kabisa niseme tu.

There is enough for EVERYONE.

Only poor people wanafikiri kuwa na ziada katika pesa haiwezekani na ndiyo maana every single damn day they struggle financially.

Wao wanafikiria tu how they get next meal.

Money to pay rent next month.

Money to pay water bills next month

Pesa ya kesho kulipia usafiri.

Kila siku ni mawazo jinsi watakavyopata pesa kidogo yakuwasukuma siku inayofuata.

Hayo ni maisha mabaya.

No one want to live like that.

You can change from poor man mentality to successful man mentality.

Ok.

Nisipoteze muda twende kwenye darasa la leo.

Are you ready?

1 • Unasema Unataka Pesa lakini Hakuna chochote Unafanya Kupata Pesa.

Ngoja nikuulize.

Mara ngapi umesema jinsi wanavyohitaji kupata pesa na kujikwamua lakini kamwe hakuna unalofanya kuzipata hizo pesa?

Yani ni kama vile excitement yakupata pesa inayeyuka punde tu unapomaliza kusema hivyo.

Kwanini inakuwa hivyo?

Kwasababu unaendeshwa na poor man mentality.

Hauna Strong Will Power kufuata kile unachosema.

Kumbuka kupata pesa yakueleweka Inabidi uwe na some kind of obsessive mind.

Yaani mawazo yako na matendo yako yanaonyesha unataka pesa kweli and you are ready to go after your goals.

Na hakika ukifanya hivyo utaanza kuona opportunities zakupiga pesa.

Hiyo ni PRAYER.

Successful people wanatumia.

Iwe wanafahamu au hawafahamu.

Namna yao yakufikiri imejengeka hivi.

Na niseme tu ukiwa unawazia pesa na kufanya jambo kuzipata, hiyo maana yake una-vibrate at higher level that money will be attracted to you naturally.

Trust me on this.

Sasa kazi kwako kubadilika katika sehemu hii niliyoelezea au kuendelea na poor man mentality.

2 • Unaogopa Pesa Na Mafanikio kwa Ujumla.

Hivi Unajua watu wengi masikini wanaosema wanahitaji pesa na mafanikio ukiwachunguza hawa watu hawamaanishi wanachosema?

Kwanza kabisa they don’t know how it feels like to have lots of money that you don’t have to worry about next meal or rent for the next 2 years.

Kumbuka watu wenye poor man mentality wanaona kuwa excess katika maisha si kwaajili yao.

Wamejidunisha kiasi kwamba...

They don’t go to business events.

They don’t go to where successful people hang out.

Hawawazii kuishi kwenye neighborhoods tulivu na salama.

Hawawazii kusafiri na kufungua macho kwa kujionea wengine wanachofanya.

Ukiwa na sifa hizi fahamu tu uko na poor man mentality.

Ubongo wako umefungwa kwahiyo kila jambo lenye ubora unaliogopa kwasababu unaona haitawezekana kwako.

But that isn’t true.

Upo hapa duniani kwa kipindi kifupi ili ufanikiwe na si vinginevyo.

Acha kuogopa pesa na mafanikio.

Hata kama lifestyle unayopendelea unaona ni gharama sana kamwe usiseme I CANT AFRORD THAT.

Badala yake sema HOW CAN I AFFORD THAT.

Hii pia ni form of prayer.

Itafungua medula yako na kuona possibilities.

You have to trust me on this one

3 • Haujui Thamani Ya Ujuzi wako Katika Kazi. And that is so Sad.

Watu wenye poor man mentality hawajui thamani yao kwahiyo hata katika kazi hawajui wanastahili kiwango gani kulipwa.

Na hapo linaibuka jambo muhimu.

Wanapata kidogo siku zote.

Why so?

Kwasababu hakuna atayekupa thamani ya juu iwapo wewe mwenyewe hujielewi.

Kwanza kabisa ili watu unaofanya nao kazi wakuone wa thamani ya juu na kukulipa good money kwa kazi yako inabidi unoe kwanza ujuzi wako.

Jitengee sifa yakujulikana kwa ubora wa kazi zao na fanya kazi ulipwe vizuri.

Nasema hivyo kwasababu usipo demand kulipwa vizuri kwa kazi zako zenye ubora maana yake unamfaidisha mwingine na wewe utazidi kubaki kwenye kulia shida everyday.

Kamwe huwezi kuwa mwenye mafanikio ikiwa hata thamani ya kazi zako hufahamu vizuri.

Utaishia kulipwa pesa mbuzi wakati watu wengine wenye ujuzi kama wako they make millions.

4 • Unapenda Complain na kujiona wewe ni Victim.

Hii ipo miongoni mwa watu wengi wenye poor man mentality.

They like complaining and bitch around.

Wanasuburi kuona nani atawaonea huruma na kuwasaidia.

But trust me.

Hakuna kitu kinatengeneza energy mbaya na kusababisha kufunga opportunity za pesa kama kupenda kulalamika na ku-play victim card.

Ukiwa na hii mentality hakuna mtu atakaye kupa deal.

Na sababu hapo ni wewe kuna na bad energy.

You make everyone around you uncomfortable.

Kwasababu wanajua hauna jipya zaidi yakueleza shida tu.

No one want to hear that.

Mtu atakupa deal au kazi iwapo tu wewe ni optimistic na hauplay victim card.

You are amazing to be around people.

Upo na energy poa.

Nikushauri leo acha ku-complain about everything.

Get your ass out bed and do something.

Kama haupo na idea yakufanya chochote send me email to makingmoneyonlinetz@gmail.com

Kumbuka kadiri unavyokuwa optimistic ndivyo unavyozidi ku-attract good things into your life. Including money. Lots of money .

5 • Mzito Kujifunza Ujuzi mpya utakaokusaidia baadaye. Unaona itachukua muda sana.

Unajua nini?

Watu wenye poor man mentality wanapenda sana kupata pesa kwa haraka.

Hiyo ni sawa. Siko na shida kupata pesa haraka.

Who doesn’t?

Lakini tatizo ni kuwa people with poor man mentality hawapo tayari kutumia kiasi cha muda wao kila siku kujifunza skill itakayowasaidia Kutengeneza pesa kwa kipindi cha mbeleni.

Wanaogopa kwasababu itatumia mwezi mmoja au miezi miwili kujifunza hiyo ni muda mrefu sana.

Basi wanaendelea na maisha yao yakuhemea wapi watapata next meal kama ilivyo kawaida yao.

Inashangaza kuwa na aina hii ya mawazo lakini ndiyo hivyo people with poor mentality wanachagua uamuzi kama huu.

Mpaka pale tu watakapo pata mwanga na kuona upande wa pili jinsi successful man mentality inavyofanya kazi ndiyo watajitoa huko walipo na kuanza Kutengeneza pesa.

Na kama ilivyo desturi. Ukionja utamu wa pesa hutorudi nyuma.

Pesa tamu bwana

Inaweza chukua muda.

But with time and dedication everything is possible.

Niishie hapa kwa leo.

Tukutane next time.
 
Mambo vipi?

Leo Jumatano Sept 11 nataka nikuonyeshe njia 5 zinazokuzuia kutengeneza pesa yakueleweka kwenye haya maisha na jinsi unavyoweza kubadilika kwa muda mfupi tu.

Nataka uone mwenyewe na ujipime ili ukifanya maamuzi yakubadilika basi you change for good na kuanzia hapo money will come your way easily.

Kwanza kabisa niseme tu.

There is enough for EVERYONE.

Only poor people wanafikiri kuwa na ziada katika pesa haiwezekani na ndiyo maana every single damn day they struggle financially.

Wao wanafikiria tu how they get next meal.

Money to pay rent next month.

Money to pay water bills next month

Pesa ya kesho kulipia usafiri.

Kila siku ni mawazo jinsi watakavyopata pesa kidogo yakuwasukuma siku inayofuata.

Hayo ni maisha mabaya.

No one want to live like that.

You can change from poor man mentality to successful man mentality.

Ok.

Nisipoteze muda twende kwenye darasa la leo.

Are you ready?

1 • Unasema Unataka Pesa lakini Hakuna chochote Unafanya Kupata Pesa.

Ngoja nikuulize.

Mara ngapi umesema jinsi wanavyohitaji kupata pesa na kujikwamua lakini kamwe hakuna unalofanya kuzipata hizo pesa?

Yani ni kama vile excitement yakupata pesa inayeyuka punde tu unapomaliza kusema hivyo.

Kwanini inakuwa hivyo?

Kwasababu unaendeshwa na poor man mentality.

Hauna Strong Will Power kufuata kile unachosema.

Kumbuka kupata pesa yakueleweka Inabidi uwe na some kind of obsessive mind.

Yaani mawazo yako na matendo yako yanaonyesha unataka pesa kweli and you are ready to go after your goals.

Na hakika ukifanya hivyo utaanza kuona opportunities zakupiga pesa.

Hiyo ni PRAYER.

Successful people wanatumia.

Iwe wanafahamu au hawafahamu.

Namna yao yakufikiri imejengeka hivi.

Na niseme tu ukiwa unawazia pesa na kufanya jambo kuzipata, hiyo maana yake una-vibrate at higher level that money will be attracted to you naturally.

Trust me on this.

Sasa kazi kwako kubadilika katika sehemu hii niliyoelezea au kuendelea na poor man mentality.

2 • Unaogopa Pesa Na Mafanikio kwa Ujumla.

Hivi Unajua watu wengi masikini wanaosema wanahitaji pesa na mafanikio ukiwachunguza hawa watu hawamaanishi wanachosema?

Kwanza kabisa they don’t know how it feels like to have lots of money that you don’t have to worry about next meal or rent for the next 2 years.

Kumbuka watu wenye poor man mentality wanaona kuwa excess katika maisha si kwaajili yao.

Wamejidunisha kiasi kwamba...

They don’t go to business events.

They don’t go to where successful people hang out.

Hawawazii kuishi kwenye neighborhoods tulivu na salama.

Hawawazii kusafiri na kufungua macho kwa kujionea wengine wanachofanya.

Ukiwa na sifa hizi fahamu tu uko na poor man mentality.

Ubongo wako umefungwa kwahiyo kila jambo lenye ubora unaliogopa kwasababu unaona haitawezekana kwako.

But that isn’t true.

Upo hapa duniani kwa kipindi kifupi ili ufanikiwe na si vinginevyo.

Acha kuogopa pesa na mafanikio.

Hata kama lifestyle unayopendelea unaona ni gharama sana kamwe usiseme I CANT AFRORD THAT.

Badala yake sema HOW CAN I AFFORD THAT.

Hii pia ni form of prayer.

Itafungua medula yako na kuona possibilities.

You have to trust me on this one

3 • Haujui Thamani Ya Ujuzi wako Katika Kazi. And that is so Sad.

Watu wenye poor man mentality hawajui thamani yao kwahiyo hata katika kazi hawajui wanastahili kiwango gani kulipwa.

Na hapo linaibuka jambo muhimu.

Wanapata kidogo siku zote.

Why so?

Kwasababu hakuna atayekupa thamani ya juu iwapo wewe mwenyewe hujielewi.

Kwanza kabisa ili watu unaofanya nao kazi wakuone wa thamani ya juu na kukulipa good money kwa kazi yako inabidi unoe kwanza ujuzi wako.

Jitengee sifa yakujulikana kwa ubora wa kazi zao na fanya kazi ulipwe vizuri.

Nasema hivyo kwasababu usipo demand kulipwa vizuri kwa kazi zako zenye ubora maana yake unamfaidisha mwingine na wewe utazidi kubaki kwenye kulia shida everyday.

Kamwe huwezi kuwa mwenye mafanikio ikiwa hata thamani ya kazi zako hufahamu vizuri.

Utaishia kulipwa pesa mbuzi wakati watu wengine wenye ujuzi kama wako they make millions.

4 • Unapenda Complain na kujiona wewe ni Victim.

Hii ipo miongoni mwa watu wengi wenye poor man mentality.

They like complaining and bitch around.

Wanasuburi kuona nani atawaonea huruma na kuwasaidia.

But trust me.

Hakuna kitu kinatengeneza energy mbaya na kusababisha kufunga opportunity za pesa kama kupenda kulalamika na ku-play victim card.

Ukiwa na hii mentality hakuna mtu atakaye kupa deal.

Na sababu hapo ni wewe kuna na bad energy.

You make everyone around you uncomfortable.

Kwasababu wanajua hauna jipya zaidi yakueleza shida tu.

No one want to hear that.

Mtu atakupa deal au kazi iwapo tu wewe ni optimistic na hauplay victim card.

You are amazing to be around people.

Upo na energy poa.

Nikushauri leo acha ku-complain about everything.

Get your ass out bed and do something.

Kama haupo na idea yakufanya chochote send me email to makingmoneyonlinetz@gmail.com

Kumbuka kadiri unavyokuwa optimistic ndivyo unavyozidi ku-attract good things into your life. Including money. Lots of money .

5 • Mzito Kujifunza Ujuzi mpya utakaokusaidia baadaye. Unaona itachukua muda sana.

Unajua nini?

Watu wenye poor man mentality wanapenda sana kupata pesa kwa haraka.

Hiyo ni sawa. Siko na shida kupata pesa haraka.

Who doesn’t?

Lakini tatizo ni kuwa people with poor man mentality hawapo tayari kutumia kiasi cha muda wao kila siku kujifunza skill itakayowasaidia Kutengeneza pesa kwa kipindi cha mbeleni.

Wanaogopa kwasababu itatumia mwezi mmoja au miezi miwili kujifunza hiyo ni muda mrefu sana.

Basi wanaendelea na maisha yao yakuhemea wapi watapata next meal kama ilivyo kawaida yao.

Inashangaza kuwa na aina hii ya mawazo lakini ndiyo hivyo people with poor mentality wanachagua uamuzi kama huu.

Mpaka pale tu watakapo pata mwanga na kuona upande wa pili jinsi successful man mentality inavyofanya kazi ndiyo watajitoa huko walipo na kuanza Kutengeneza pesa.

Na kama ilivyo desturi. Ukionja utamu wa pesa hutorudi nyuma.

Pesa tamu bwana

Inaweza chukua muda.

But with time and dedication everything is possible.

Niishie hapa kwa leo.

Tukutane next time.
NAUNGA MKONO HOJA MKUU
 
Yes man.

Money can buy you a very nice lifestyle.

I want to be rich. Rich forever
Kweli kabisa, kuna vitu natamani kuwa navyo hadi sasa ila sina na nikinunua miezi havikishi nishauza kwaajiri ya either shida au mipango hii inanikereketa sana alafu vitu vyenyewe pesa nyingi basi 350,000/= unapata 300,000/=

Nitahaso sana nifikie Financial Freedom kutokuwa na pesa yaani unaona kama mtu anagugandamiza.
 
Kweli kabisa, kuna vitu natamani kuwa navyo hadi sasa ila sina na nikinunua miezi havikishi nishauza kwaajiri ya either shida au mipango hii inanikereketa sana alafu vitu vyenyewe pesa nyingi basi 350,000/= unapata 300,000/=

Nitahaso sana nifikie Financial Freedom kutokuwa na pesa yaani unaona kama mtu anagugandamiza.

Respect sana brother

Pesa inafanya life inakuwa comfortable sana.

Nikikumbuka hivyo siwezi kaa kizembe na kupoteza muda wangu.

Financial freedom kwangu ni goal number moja.

Being broke is bad man.

Sijui kwanini watu wanaona poa tu.

Endelea kupambana chief.

Pia focus katika kuona matatizo ya watu and see how you solve them.

You will make money. Big money
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom