Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari 5.2 kinauzwa Dodoma mkabala na NHC Iyumbu Estate Centre ambapo rais alizindua mradi wa Iyumbu Estate Center na kununua nyumba 60. Mradi wa NHC ni nyumba 300. Eneo liko kilometer 2 kutoka UDom Administration block.
Kiwanja kina hati ya miaka 33 iliyotolewa na CDA na limetengwa kwa ajili ya shule ya sekondari ingawa sheria inaruhusu mabadiliko. Bei ni 500m na mazungumzo yapo.
Call or Sms 0787377511
Kiwanja kina hati ya miaka 33 iliyotolewa na CDA na limetengwa kwa ajili ya shule ya sekondari ingawa sheria inaruhusu mabadiliko. Bei ni 500m na mazungumzo yapo.
Call or Sms 0787377511