Nguno Buchenja
Senior Member
- May 3, 2012
- 147
- 53
Nimeshangazwa na jinsi sera na mitazamo ya harakati za kimakundi katika ya 4U Movement na M4C zilivyokubaliana mapema mara tu baada ya kambi mbili hizi kuungana.
Je Kambi hizi zilikuwa zina mawasiliano ya muda mrefu au imetokea tu?
Nipeni ufahamu wadau
Je Kambi hizi zilikuwa zina mawasiliano ya muda mrefu au imetokea tu?
Nipeni ufahamu wadau