Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
...tukiwa tunaelekea tarehe 12.January, si vibaya tukijikumbusha ilikuwaje miaka 45 ilopita siku ya mapinduzi ya Zanzibar kwa picha.View attachment 3250
...serikali ya Zanzibar huru chini ya utawala wa Sultani Jamshid, ilokuwa ikiongozwa na Shamte.
...wananchi walochoshwa na ubwana na utwana wakichapana mikwaju, mawe, mashoka na mapanga kuelekea mapinduzi yaliyodumu masaa tisa.
...mass grave kuonyesha umati wa watu waliofariki katika mapinduzi hayo.
...Field Marshall Okelo, kiongozi wa mapinduzi hayo akiwa na wafuasi wake
...picha kwa hisani ya www.zanzibarhistory.org
Last edited: