55% inahusisha kuonana na watu probably ni personal issues, hapo mwenzako unaesafiri nae lazima muda mwingine awe bored. Hapo ndio solo trip inatake place kiongozi.Solo trips 'zinaboa'
Zaidi ya mmoja ndio mpango kwa jinsia zozote.
Sawa mkuu nafikiri hili la gari tuwaachie waandaaji tuone watapendekeza lipimaana tutawfisha moyo na hili wazo nilizuri sana kwa watukufanya utalii wandani,kwa mimi usafiri kwabarabara kwangu ni zaidi yautalii.Mie pia ni generation landrover,. Nilianza na the by then icon 109, nimecheza nazo sana enzi hizo na kwa wakati huo niliamini kabisa hakukuwa na 4x4 ya uhakika kama landrover, i was wrong. Landrover zina matatizo madogo madogo mengi sana ,hasa leakages na suspension, bushes , ukitumia on personal issues huwezi jua , Ila nenda porini with a loaded landrover, halafu kule inyeshe kimvua ka cha buku hivi !!! on your return you'll face eye watering expensive repair bill.
Safari kama hizo mwenzie toyota , if it is a landcruiser , that will be a bonus .
Mkuu Tz kubwa hii Iringa jimbo la Isimani ukivuka bwawa la Mtera kutokea Dodoma kwa mbele kama 40km kuna Migori pia na samak wa kutosha kutoka bwawani Mtera wazima unachagua wanakukaangia kitoga,kambale na peregeNimeona katika route alizopendekeza kuna kwenda MIGORI, Migori ipo Kenya.
Mkuu umenigusa 😂😂😂Mkuu Tz kubwa hii Iringa jimbo la Isimani ukivuka bwawa la Mtera kutokea Dodoma kwa mbele kama 40km kuna Migori pia na samak wa kutosha kutoka bwawani Mtera wazima unachagua wanakukaangia kitoga,kambale na perege
Mkuu watu wa Dodoma huwa wanaenda hapo wikend kula samak, mbuzi choma na vinywaji ni ka mji tu kapo road ya kwenda Iringa na lodge zipo so sometime mjini kuna boa unaibuka tu hapoMkuu umenigusa
Napajua mkuu nilishiriki kujenga hilo bwawa ndio maana nikasema umenigusa nimekumbukambali sana aiseeMkuu watu wa Dodoma huwa wanaenda hapo wikend kula samak, mbuzi choma na vinywaji ni ka mji tu kapo road ya kwenda Iringa na lodge zipo so sometime mjini kuna boa unaibuka tu hapo
acha nisome comment tu aseee 😬😬Hao wanawake wa kuwala labda muwapange kabisa. Ila kama ni bf girlfriend mjue kabisa kila kidume atatoa 3M ikiwa ni yeye na malaya wake.
Mwanamke wa kutoa 1.5M toka mfukoni mwake eti kisa road trip kisha akaliwe bure kwa siku 40 huko safarini sijapata kumuona bado hapa mjini Daslama😅
Gari binafsi ungeweka vigezo vyake, wenye gari zinazotembelea tumbo tujitoe kabisa au na sie ndaniDalili zinaoneaha Cruiser hatotosha, dalili ya Coaster naiona
Ila wadau wenye magari wakijitolea itakuwa pouwa sana, mafuta tutachangia sisi wenyewe
Defender tumeshauriwa tusiitumie kwa route za pori.
nafikia muweke category wa 180, 150, 100, na 220.. wengine humu ndio raha yetu.. 80, 50 safari inakuwa ndefu sanaMkuu, jitolee V8 yako, tukishapanga route utaleta bajet ya mafuta, watakaoweza kuchangia kwenye V8 utawapata, ila njiani tutatembea convoy kwa speed 80, 50, 30kph.
Au tutakubaliana kusubiriana kwenye points tutakazo chaguwa, ili wenye V8 wa enjoy thrilling ya power with luxury.
Kama laki tatu, wadada 10 warembo wa jf najitolea kuwalipia.. asee 😊😊Muda wa safari umependekezwa kupunguzwa mkuu
Kwa kuanzia safari haitozidi wiki moja.
Na minimum bajet ya wiki moja ni laki 3 hivi
Tuendelee kupendwkeza route na kwa ajili ya kujuwa bajet
Karibu sana
Lakini mbona migori iliyoongelewa hapo kama sio ya mteraMkuu Tz kubwa hii Iringa jimbo la Isimani ukivuka bwawa la Mtera kutokea Dodoma kwa mbele kama 40km kuna Migori pia na samak wa kutosha kutoka bwawani Mtera wazima unachagua wanakukaangia kitoga,kambale na perege
Soma vizur kuna jamaa kasema Migor ipo Kenya nami nikamjibu kuna Migor nyingine ipo Iringa - Isiman kama inaitwa izazi sijui but jina maarufu pale ni MigoriLakini mbona migori iliyoongelewa hapo kama sio ya mtera
Naifahamu kuna izazi migori na mtera though
Ok hebu tupe taarifa ilikuwaje manake mm huwa nawaza kwamba lile bwawa limetokea tu kumbe kuna watu mlihenyeka kulijengaNapajua mkuu nilishiriki kujenga hilo bwawa ndio maana nikasema umenigusa nimekumbukambali sana aisee
Sijaona ukielezea gaharama za matengenezo ya gari hapo.Utaratibu wa kuchangia utakuwa wazi, maana bajeti ya mafuta itajulikana kabla ya safari, na hela itakayobaki ama kuzidi titaona waziwazi.
Kwenye matumizi binafsi hapa ndipo kila mtu atatumia kwa uwezo aliojipangia kwa safari hiyo.
Kwa mfan route hii:-
Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Mtambaswala - Masasi - Songea - Mbinga - Mbamba bay -Songea - Njombe - Iringa - Moro - Dar ni almost 2,800km
Kwa gari inayotumia lita moja kwenda km 8 maana yake zitahitajika lita 350 hivi ambazo kwa bei ya 2600 ni sawa na Shilingi laki 9.
Kwa gari moja ambalo limechukuwa watu sita ina maana kila mdau atachangia 150,000/- kwa ajili ya mafuta tu.
Route hiyo ili muifaidi inabidi kulala sehemu zifuatazo:-
Mtwara, Masasi baada ya kutoka Mtabaswala, Songea mjini, Mbamba bay, Njombe.
Hapo ni sehemu 5 za kulala ambazo kwa wastani wa lodge 15,000/- ni sawa na 75,000/-
Chakula kila siku ni wastani wa elfu 10, route ni siku 6 sawa na 60,000/-
Sasa chukuwa 150,000 + 75,000 + 60,000 = 285,000/-
Hivyo utaona angalau kila mtu asipungukiwe laki 3 kwa siku hizo sita.
Matumizi ya ziada kila mmoja anajuwa bajeti yake.
Kuitafuta laki 3 kwa miezi 6 inawezekana.
Tuendelee kuchaguwa ROUTE, IDADI YA SIKU kwa route hizo ili tufanye makadirio ya bajeti.
Ukimpata ni Tagacha nisome comment tu aseee 😬😬
Nimesoma vizuri mkuu , ninkweli kuna migori Tanzania , km 95 kabla ya kufika iringa mjini ukitokea dodoma , lakiji migori inayoongelewa na mtoa mada sio ya mtera , ni migori ya kenya , 30 km kutoka isebania na 30 km kabla ya kufika Rongo.Soma vizur kuna jamaa kasema Migor ipo Kenya nami nikamjibu kuna Migor nyingine ipo Iringa - Isiman kama inaitwa izazi sijui but jina maarufu pale ni Migori
Kuna nyama choma mbuzi hapo safi sanaSoma vizur kuna jamaa kasema Migor ipo Kenya nami nikamjibu kuna Migor nyingine ipo Iringa - Isiman kama inaitwa izazi sijui but jina maarufu pale ni Migori