20% inatoka kwenye mapato ya sehemu zipi????
Mapato ya TRA Zanzibar yanachukuliwa na serekali ya SMZ. Ila hayo mapato ya TRA Zanzibar hayazidi hata 20% ya stahiki ambayo SMT wanatakiwa kuilipa SMZ ya gawio la pato la Muungano. Na ndio mana SMZ wanadai hela zao.