4% ya mapato kwenda Zanzibar kama Hoja ya Muungano

Wabunge kutoka Zanzibar wapo pale kujadili mambo yote ya kibunge yanayohusu Muungano.
Wapo kwa ajili ya kuwawakilisha Wazanzibari kwenye Muungano
Hakuna kitu hapo ni uhuni tu, ili ni jini ambalo tulilikaribisha pasipokujua mwisho wake itakuwaje.Toka nizaliwe nilikuta malalamiko ya kuwa Zanzibar inanyonywa lkn nikiangalia kwa makini Zanzibar ndiyo inanyonya Bara.Na kwanini pande zote mbili hazitaki kuweka wazi makubaliano waiyokubaliana na yanatekelezwaje, kwa sasa naona kila upande unanyofoa kipande tu ambacho pengine hakikutekelezwa.
 
Muungano upo katika mambo manne tu ambayo ni
1. Ulinzi
2. Mambo ya ndani
3. Mambo ya nje
4. Fedha

Tuangalie katika wigo huo. Issue hapo iko kwenye fedha ndio kuna ukakasi haswa kuhusu hiyo 4.5% ya Zanzibar
 
KOSA KUBWA ALILOFANYA NYERERE MWAKA 1977 NI KUIUA ASP NA KUACHA ZANZIBAR KAMA NCHI BADALA YA MKOA.

KAMA ILIVYOKUFA TANGANYIKA BASI HAKUKUA NA SABABU YA KUIACHA ZANZIBAR.
 
Kwani Tanganyika wanayo bendera??

Ulikuwa hujui mkuu???

IMG_2439.png

Hoja yako ya Kwanza:
Hii bendera ni ya sehemu ipi Kwani???
Hoja ya Pili:
Nilikuwa najua TRA uwanda wake wa kazi ni mpaka Zanzibar ila sio kwenye non Union matters ndo maana sijaelewa utofauti kati ya ZRB na TRA!!!
Umenielewa au?
 
View attachment 1756252
Hoja yako ya Kwanza:
Hii bendera ni ya sehemu ipi Kwani???
Hoja ya Pili:
Nilikuwa najua TRA uwanda wake wa kazi ni mpaka Zanzibar ila sio kwenye non Union matters ndo maana sijaelewa utofauti kati ya ZRB na TRA!!!
Umenielewa au?

ZRB ina apply Zanzibar pekee, lakini TRA ni Tanzania nzima.
Jifunze kidogo kupitia hii link
Kama TRA haifanyi kazi Zanzibar huu mfumo wa kuimarisha ukusanyaji mapato wa kazi gani?
Na hii ilikuwa ni 2018/2019 walipotambulisha mfumo wa TANCIS.
 
ZRB ina apply Zanzibar pekee, lakini TRA ni Tanzania nzima.
Jifunze kidogo kupitia hii link
Kama TRA haifanyi kazi Zanzibar huu mfumo wa kuimarisha ukusanyaji mapato wa kazi gani?
Na hii ilikuwa ni 2018/2019 walipotambulisha mfumo wa TANCIS.

The Zanzibar Revenue Board (ZRB) was established under the ZRB Act No. 7 of 1996 as the prime agency of the Government of Zanzibar for collection and administration of all taxes from Inland Revenue sources other than customs, excise and income taxes that are administered by the Tanzania Revenue Authority (TRA). ZRB became operational since July 1998.
TRA:
The Tanzania Revenue Authority (TRA) was established by Act of Parliament No. 11 of 1995, and started its operations on 1st July 1996. In carrying out its statutory functions, TRA is regulated by law, and is responsible for administering impartially various taxes of the Central Government.
 
The Zanzibar Revenue Board (ZRB) was established under the ZRB Act No. 7 of 1996 as the prime agency of the Government of Zanzibar for collection and administration of all taxes from Inland Revenue sources other than customs, excise and income taxes that are administered by the Tanzania Revenue Authority (TRA). ZRB became operational since July 1998.
TRA:
The Tanzania Revenue Authority (TRA) was established by Act of Parliament No. 11 of 1995, and started its operations on 1st July 1996. In carrying out its statutory functions, TRA is regulated by law, and is responsible for administering impartially various taxes of the Central Government.
Hapo hapo sasa ngoja nikuweke sawa, Kontena lenye mzigo limeingizwa Zanzibar, je Mfanyabiashara halipii ushuru wa Forodha TRA? Jibu analipa
Then mzigo ule ule uliolipiwa ukiuchua Zanzibar kuupeleka Dar es Salaam, utakutana tena na TRA wanataka kodi.
Bado ni kwamba ZRB inafanya kazi Zanzibar pekee na TRA inafanyakazi Tanzania nzima (Zanzibar - sehemu ya Tanzania) then mtu akinunua mzigo Zanzibar kwenda nao bara anakutana na TRA tena (Mzigo umetoka Zanzibar - nje ya Tanzania)
Screenshot_20210419-153149.jpg
 
Hapo hapo sasa ngoja nikuweke sawa, Kontena lenye mzigo limeingizwa Zanzibar, je Mfanyabiashara halipii ushuru wa Forodha TRA? Jibu analipa
Then mzigo ule ule uliolipiwa ukiuchua Zanzibar kuupeleka Dar es Salaam, utakutana tena na TRA wanataka kodi.
Bado ni kwamba ZRB inafanya kazi Zanzibar pekee na TRA inafanyakazi Tanzania nzima (Zanzibar - sehemu ya Tanzania) then mtu akinunua mzigo Zanzibar kwenda nao bara anakutana na TRA tena (Mzigo umetoka Zanzibar - nje ya Tanzania)
View attachment 1756650

Sasa mgawanyo wa mapato kwa TRA upande wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar unakaaje) wakati mgawanyo wa ZRB Unatumika Zanzibar pekee?? Je huoni kwamba Mapato ya Bara kuendeleza Zanzibar bila ya sababu ya Msingi kwa mgongo wa Muungano?
 
Acha uongo, tra ukusanye mapato znz alaf yote yaachwe znz basi itakua tra yenu ya kikundi cha majambazi
Huna unachojua

Fedha zote zinazokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar (huchukua SMZ); halafu wakati huo huo ambapo fedha zote hubaki Zanzibar, mishara ya watumishi wa TRA Zanzibar (wengi wao wakiwa wazanzibari) na fedha ya uendeshaji wa ofisi ya TRA Zanzibar inatoka TRA Head Office (Tanzania bara)

Zanzibar ni kupe
 
Huna unachojua

Fedha zote zinazokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar (huchukua SMZ); halafu wakati huo huo ambapo fedha zote hubaki Zanzibar, mishara ya watumishi wa TRA Zanzibar (wengi wao wakiwa wazanzibari) na fedha ya uendeshaji wa ofisi ya TRA Zanzibar inatoka TRA Head Office (Tanzania bara)

Zanzibar ni kupe
Sasa kama fedha zote zinazokusanywa na TRA Zanzibar zinatumika Zanzibar kwanini ukusanyaji huo usifanywe na ZRB pekee ambayo ndio iko Zanzibar? Ili mapato hayo yatumike Zanzibar ili kuondoa mzizi wa fitina?
Sasa mgawanyo wa mapato kwa TRA upande wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar unakaaje) wakati mgawanyo wa ZRB Unatumika Zanzibar pekee?? Je huoni kwamba Mapato ya Bara kuendeleza Zanzibar bila ya sababu ya Msingi kwa mgongo wa Muungano?
 
Huna unachojua

Fedha zote zinazokusanywa na TRA Zanzibar hubaki Zanzibar (huchukua SMZ); halafu wakati huo huo ambapo fedha zote hubaki Zanzibar, mishara ya watumishi wa TRA Zanzibar (wengi wao wakiwa wazanzibari) na fedha ya uendeshaji wa ofisi ya TRA Zanzibar inatoka TRA Head Office (Tanzania bara)

Zanzibar ni kupe

Mkuu unaumia sana, fedha za TRA Zanzibar hazizidi hata 20% ya stahiki ya Zanzibar ya mgao wa Muungano.
 
Sasa kama fedha zote zinazokusanywa na TRA Zanzibar zinatumika Zanzibar kwanini ukusanyaji huo usifanywe na ZRB pekee ambayo ndio iko Zanzibar? Ili mapato hayo yatumike Zanzibar ili kuondoa mzizi wa fitina?

Zanzibar anakula cha TRA pamoja na ZRB
 
Zanzibar anakula cha TRA pamoja na ZRB
Hakuna kitu kama hicho, kwa mantiki hii hakuna pato la bara linalotumika visiwani. Kwa maana kama ulivyosema mapato, kama mapato yanayokusanywa na TRA Zanzibar yanatumika Zanzibar sasa mapato yepi ya bara yanayoliwa hapo?
 
Sasa hivi tunatawaliwa na wazanzibari,bara hatuna chetu, zamani tulikuwa tunasema Tanganyika imemeza Zanzibar,sasa hivi Zanzibar imemeza Tanganyika,hapo ndoo utamu wa muungano,kutesa kwa zam,mbuzi kamug'ata mchungaji,Tulikuwa na nyerere,mkapa na magufuli,Tulikuwa tunawaamini kusimamia maslahi ya bara lakini Sasa hivi hawapo,naogopa kusema sana lakini wazanzibari kwa Sasa hivi wanaweza kufanya salakasi yoyote wakuwazuwia simuoni.
 
Back
Top Bottom