Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,333
Sio hawajui tu Bali hata uwezo wa kujua hawana.Kama ni mzigo, mbona hamuutuwi basi? Wazanzibari wenyewe hatutaki Muungano, na ukivunjika itatangazwa kuwa ni siku ya uhuru ile 1964 itasahauliwa.
Tanganyika na mali zote mlizokuwa nazo lakini mnashindwa kusonga mbele. Ishu sio kuwa na mali, ishu ni je mnajua kutumia izo mali? jibu ni kuwa hamujui.