4% ya mapato kwenda Zanzibar kama Hoja ya Muungano

Walioweka hesabu kwa vigezo hivi walikuwa realistic? Ugawiwe hata kama huchangii inawezekana wapi? Gharama za Majeshi ya Muungano tu pamoja ya kuwa ni siri kuu, sidhani kama ZNZ inaweza kuzihimili wenyewe. Na mimi nimetoa tu eneo moja kama mfano.
Ndio maana tukasema uvunjwe. Hatuutaki
 
Unajua Sky Eclat watu huwa wanajadili hata wasichokifahamu! Mleta mada mwenyewe amekurupuka kulalamika badala ya kuishia kuuliza swali yeye ametafasiri moja kwa moja kwamba kinachogawanwa ni pato la Taifa (kitu ambacho ni ujinga kuhoji!). Malalamiko ya Zanzibar yamekuwa kwenye kupunjwa fedha za misaada ambayo kwenye hati za muungano imetamkwa namna watakavyogawana hiyo misaada, sasa mama amekuja kuhakikisha makubaliano yanatekelezwa!
Na katika mada kama hizi ndio kuna watu ulidhani huko nyuma wana akili, hapa ndio unawajua ni wajinga na wapumbavu tu. Hawajui mambo kadhaa muhimu ya taifa lao
 
1. pesa ya visa: hivi kweli itakuwa nyingi kiasi hicho? manake hata bara kuna watalii wengi wanakuja.

2. makampuni ya simu:- naona zanzibar hapo wanafaidika kwa kupata huduma zao, kwasababu kama isingekuwa bara sidhani kama kungekuwa na kampuni la simu lingeenda kwao kugombania wateja chini ya milioni moja. kwahiyo wanapata huduma za simu kwa mgongo wa population ya bara, hapo washukuru wasilaumu. kama vipi wapige marufuku yasitoe huduma kule kama wataweza.

3. zaidi ya yote, wazanzibar bara wengi sana sana na binafsi huwa nawaona ni watz wala si wazazibar, pamoja na kwamba wao huwa wanapenda kujionyesha ni wa kisiwani sio wa uku. wanafaidika na chochote kinachofanywa na serikali ya muungano. sasa kama raia wao wanakula matunda ya muungano, utasemaje wanatudai? wanatudai chakula ambacho tulipokitenga hadi watoto wao wamekula? na kwanini sisi hatumiliki ardhi kisiwani wakati wao wanamiliki ardhi hadi migodi bara?
Hii hoja yako namba 2 imenifanya nione upeo wako wa kujua mambo ni mdogo. Nenda angalia nchi zenye population ya chini ya 1M hawana mashirika ya simu???
 
Na huu ndio ujinga tunaouzungumzia kila siku. Eti halafu na wewe ni msomi.

Zanzibar ni MSHIRIKA na wala sio ombaomba. Eti wasaidiwe, Tanganyika yenyewe ina madeni kede wa kede ina uwezo gani wa kuisaidia Zanzibar.

Kama huna ujualo kuhusu Muungano uliza wajuvi

Mngelilia urithi kwenye matanga na kuita watu wanga?
 
Hajaja kutuchanganya, anaonyesha matumaini makubwa sana. hoja hapa ni wasije kuja watu wakutake advantage upole wake, wakaingiza vitu vya ajabu kwenye muungano. kama kuna hoja ya msingi binafsi mimi sina shida, ila napenda mwenye kuelewa zaidi atuambie, ni mapato yepi?

Yanainclude na mapato ya migodi ya bunzwagi geita na bulli? na ya TRA ya bara? au ni pesa za misaada pekee? na je, zanzibar wana TRA yao au hawana? wanaendesha nchi kwa pesa ipi? si wanajitegemea? au? sasa sisi tuwachangie kwa ajili gani?
Kama Kuna kitu nyerere alibugi ni kukubali kuunganisha hizi nchi mbili, na huu muungano sisi watu wa bara ndiyo tunaulazimisha kwa hiyo lazima tuweke vitu vya kuwavutia, tunapoacha kutekeleza ndiyo tunakumbushwa
 
Sasa mkuu hakuna huo msaa wa JM Tanzania kwa ajili ya hospital ya Mnazi mmoja.

Ukija msaada kwa ajili ya MMH ujue huo umetolewa specifically kwa ajili ya znz. Na hii ni kutokana kwamba znz inayo serikali na ukiwa na serikali maana yake unatambulika. Zanzibar ina balozi za nchi nyengine hapa tofauti na Tanganyika ambao wao wanajifanya ndio Tanzania

Tukiwa na viongozi wenye akili kama zako jua Muungano unaenda kufa. Jua hilo.
 
unfortunately, amini usiamini, mafuta zenji hakuna. na kama yapo, yapo kidogo sana, na kama yakiwepo zenji basi na bara yapo. hata gesi tu hawajagundua. binafsi, ninaamini kama tunataka muungano, tuungane kabisa kabisa tuwe nchi moja, hata hoja ya kuwa na marais wawili kwenye nchi moja hii huwa naona ni ukakasi.

ila kama kweli kuna mafuta zanzibar, ni haki wayatumie wao tu, na sisi gas na mafuta na helium etc zitumike huku tu. Zanzibar kama wakipata mafuta kweli wataendelea sana, kama wakipata kitu cha kuwaingizia hela wataendelea sana kwasababu nchi yao ni ndogo kuiendeleza ni rahisi. hata hivyo.

wamejaa sana bara na ninapenda wajae zaidi ndio maana ya muungano, ila sisi sasa kwenda kwao tunaonekana wageni fulani hivi. tukija ndani ya hoja, ni kitu gani hiki kinachotakiwa kugawanywa? isije kuwa wana hoja ya msingi halafu inafunikwa.
Amini usiamini lazima Kuna hoja ya msingi hawawezi kukurupuka Hawa watu,Kuna kitu tu ambacho kina maslahi kwao Ila hakitekelezwi
 
Tukiwa na viongozi wenye akili kama zako jua Muungano unaenda kufa. Jua hilo.
Ndio,

Either ufe au uwe muungano wa kuheshimiana kwa pande zote mbili. Kila upande upate haki yake.

Sitokubali Tanganyika inyonywe na kuonewa au Zanzibar inyonywe na kuonewa. Nimefunzwa kusimamia haki hata kama baadhi ya watu hawaipendi.
 
Haki ya kunyonya wengine?
Kuwanyonya vipi??

Haya mambo yapo kwenye mkataba.

Suala la Bakia ya pato la Taifa kwenye mambo ya muungano, suala la misaada yote inayokuja Tanzania Zanzibar inatakiwa ipate share yake.

Tena baadhi yenu mnajitia wazimu kwamba ni 4%. Tambueni ni 4.5%

Miaka ya MEMKWA mlikwenda kuombea misaada jina la Tanzania halafu mkakataa kutoa share ya Zanzibar kwa kisingizio eti elimu ya Msingi sio jambo la Muungano.

Pumbavu kabisa!!!

Sasa si mngeenda kusema Tanganyika ndio inaomba msaada
 
Ndio,

Either ufe au uwe muungano wa kuheshimiana kwa pande zote mbili. Kila upande upate haki yake.

Sitokubali Tanganyika inyonywe na kuonewa au Zanzibar inyonywe na kuonewa. Nimefunzwa kusimamia haki hata kama baadhi ya watu hawaipendi.

Tanganyika inyonye Znz kwa kusaidia kulipia watu wake umeme?!
 
yaani, kila mmoja akusanye mapato kwenye nafasi yake. kama ni watalii wanaenda zanzibar, wakatoe visa pale zanzibar kwasababu si nchi ile? kama ni kukusanya mapato basi kuwe na ZRA ya kwao, nchi mbili zikusanye mapato kila mmoja kwa nafasi yake halafu kila mmoja sasa achangie kwenye muungano.

litakalotokea hapo, zanzibar hawatakuwa na cha kukusanya zaidi ya visa za watalii kimuungano. mitandao ya simu watabaki na zantel yao tu ambao haitakuwa na faida kwasababu ya pupulation ya kisiwani, ni ndogo kufanya biashara hizo, the same applies kwa mabenki. tuishie kusema muungano unawafaidisha pande zote mbili na zanzibar inafaidika nao indirectly na wanakula kwa mgongo wetu sana.
Easier said
 
Kuwanyonya vipi??

Haya mambo yapo kwenye mkataba.

Suala la Bakia ya pato la Taifa kwenye mambo ya muungano, suala la misaada yote inayokuja Tanzania Zanzibar inatakiwa ipate share yake.

Tena baadhi yenu mnajitia wazimu kwamba ni 4%. Tambueni ni 4.5%

Miaka ya MEMKWA mlikwenda kuombea misaada jina la Tanzania halafu mkakataa kutoa share ya Zanzibar kwa kisingizio eti elimu ya Msingi sio jambo la Muungano.

Pumbavu kabisa!!!

Sasa si mngeenda kusema Tanganyika ndio inaomba msaada

Mngekua mnalitaka, kuliheshimu na kulithamini hili jina la Tanzania mngebakia na jina lenu la Zanzibar? Ila kwenye shekeli mnalithamini na kuliheshimu. Tuondoleini unafiki huu tena ni dhambi mbele ya Mungu.
 
Tanganyika inyonye Znz kwa kusaidia kulipia watu wake umeme?!
Mkuu,

You are either missing the points intentionally or arguing just for the sake of arguing.

Don't have time for that!

Maana naona tunajadiliana vizuri tu nakueleza mambo yalivyo halafu bado unajitia hamnazo vile vile
 
Mkuu,

You are either missing the points intentionally or arguing just for the sake of arguing.

Don't have time for that!

Maana naona tunajadiliana vizuri tu nakueleza mambo yalivyo halafu bado unajitia hamnazo vile vile

Ukiheshimu utaheshimiwa. Tabia mlizorithi kutoka kwa mabwana zenu waarabu za kudharau, kudhalilisha na kutweza utu wa mtu pale walipowafanya mababu zetu kuwa bidhaa na kuwauza kama mifugo hazina nafasi dunia ya leo.
 
Ukitathimi kwa kina utagundua iyo 4% inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar.

Ni kama vile Tanganyika inalipia gharama za muungano.
Ni kweli ulichokiandika.
Kwa muundo huu wa muungano, Zanzibar ni koloni la Tanganyika, hivyo Tanganyika inawajibika kulipia gharama ya kulitunza koloni lake.

Upande wa pili utajiuliza ni kwa vipi Tanganyika inapata faida kwa kuikalia kimabavu Zanzibar? Jibu nitakupa hapa.
1. Sababu za kiusalama. Tanganyika haiwezi kuwa salama ikiwa Zanzibar itakuwa nchi huru. Watu wenye akili wameshanielewa........

2. Uchumi wa Tanganyika kibiashara unategemea sana bandari ya Dar na makusanyo ya kodi kwa bidhaa kutoka nje. Zanzibar ikiwa nchi huru, itakuwa na mamlaka ya kuwa na bandari huru kubwa, ushirika na Oman, China au nchi za mabeberu katika uwekezaji wa kibiashara kama kisiwa huru (mfano wa Dubai) na hapo itaua bandari ya Dar na makusanyo ya kodi kwa bidhaa za nje kwa Tanganyika.

Hizi blah blah za kutaka kujenga bandari Bagamoyo zitahamia ghafla Zanzibar siku chache tu baada ya Zanzibar kuja kuwa nchi huru.
 
mishahara gani munayowalipa mkuu?

Na je vipi kuhusu mapato ya anga? mapato ya bahari? Kodi za makampuni? Visa fees? zote ziende Bara au ?
Sioni faida yoyote watanganyika wanapata kwa kuendelea kuikumbatia Zanzibar wala sioni hasara endapo muungano ukivunjika
 
Back
Top Bottom