Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Ndio maana tukasema uvunjwe. HatuutakiWalioweka hesabu kwa vigezo hivi walikuwa realistic? Ugawiwe hata kama huchangii inawezekana wapi? Gharama za Majeshi ya Muungano tu pamoja ya kuwa ni siri kuu, sidhani kama ZNZ inaweza kuzihimili wenyewe. Na mimi nimetoa tu eneo moja kama mfano.