iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,230
- 7,814
Habarini wakuu...
Aisee nina shida na RAM aina ya ddr2 yenye at least ukubwa kuanzia 4GB kwa bar/stick 1 mpaka 8GB (2×4gb)
Nina mashine hapa nahitaji ku upgrade RAM, nina software moja ya kazi ina kula RAM sana yaani ku operate yenyewe background inalamba 2GB ya RAM na mashine yangu ina Ram 3gb pekee…
Msaada naweza pata wapi hizo RAM na bei yake pia, Mimi niko Mwanza..
Chief-Mkwawa na wengine msaada.
Aisee nina shida na RAM aina ya ddr2 yenye at least ukubwa kuanzia 4GB kwa bar/stick 1 mpaka 8GB (2×4gb)
Nina mashine hapa nahitaji ku upgrade RAM, nina software moja ya kazi ina kula RAM sana yaani ku operate yenyewe background inalamba 2GB ya RAM na mashine yangu ina Ram 3gb pekee…
Msaada naweza pata wapi hizo RAM na bei yake pia, Mimi niko Mwanza..
Chief-Mkwawa na wengine msaada.