3D animation in Tanzania

Kifuu cha moto

Senior Member
Dec 16, 2016
132
101
Wandugu naamini humu ndani kuna wajuzi wa kila aina. Nimekuwa impressed sana na maswala ya 3d animation baada ya kufowadiwa kazi moja iliyofanywa na watanzania au kampuni ya watanzania..ningependa kujifunza kutengeneza hizi cartoon..nimeangalia humu ndani kuna watu pia wanafanya hizi vitu eg goodone . Nimefanya utafiti wa awali nikagundua kuwa tengeneza hizi vitu huitaji ujuzi wa mahesabu (nina allergy na vitu vyenye mahesabu). Kama kuna mtu anaweza kunifundisha in person naomba tuwasiliane pls.



 
Wandugu naamini humu ndani kuna wajuzi wa kila aina. Nimekuwa impressed sana na maswala ya 3d animation baada ya kufowadiwa kazi moja iliyofanywa na watanzania au kampuni ya watanzania..ningependa kujifunza kutengeneza hizi cartoon..nimeangalia humu ndani kuna watu pia wanafanya hizi vitu eg goodone . Nimefanya utafiti wa awali nikagundua kuwa tengeneza hizi vitu huitaji ujuzi wa mahesabu (nina allergy na vitu vyenye mahesabu). Kama kuna mtu anaweza kunifundisha in person naomba tuwasiliane pls.






Wandugu naamini humu ndani kuna wajuzi wa kila aina. Nimekuwa impressed sana na maswala ya 3d animation baada ya kufowadiwa kazi moja iliyofanywa na watanzania au kampuni ya watanzania..ningependa kujifunza kutengeneza hizi cartoon..nimeangalia humu ndani kuna watu pia wanafanya hizi vitu eg goodone . Nimefanya utafiti wa awali nikagundua kuwa tengeneza hizi vitu huitaji ujuzi wa mahesabu (nina allergy na vitu vyenye mahesabu). Kama kuna mtu anaweza kunifundisha in person naomba tuwasiliane pls.





Huyu jamaa aliyefanya hii short animation anaitwa Ridvan Maloku anatokea Bronx New york, kama alivyosema ametumia Cinema 4D ambapo tool inaitwa unfolding ni dynamic kama umesha wahi kutumia 3D softwares, kwa bongo hii taaluma tupo wachache sana kwani hata soko bado halipo wazi kivile, kwa ushauli nitafute kwa namba hii 0717 238773
 
Back
Top Bottom