Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,647
- 6,829
JAMAA kaingia bar kwa fujo...JAMAA:lete bia hapa na kila m2 humu ndani mpe bia yake maana napokunywa bia nataka kila mtu anywe bia.
WATU:Ha ha ha ha!!.wakapewa bia
JAMAA:Lete mchemsho hapa na kila mmoja mpe mchemsho wake maana napokula mchemsho nataka kila mtu ale mchemsho
WATU:ee ahsante sana..makofi kwake tafadhali,pa pa pa. mhudumu akawapa. JAMAA:Lete BILI hapa na kila m2 mpe BILI yake maana ninapolipa bili nataka kila mtu alipe bili yake mwenyewe.
WATU:Ha ha ha ha!!.wakapewa bia
JAMAA:Lete mchemsho hapa na kila mmoja mpe mchemsho wake maana napokula mchemsho nataka kila mtu ale mchemsho
WATU:ee ahsante sana..makofi kwake tafadhali,pa pa pa. mhudumu akawapa. JAMAA:Lete BILI hapa na kila m2 mpe BILI yake maana ninapolipa bili nataka kila mtu alipe bili yake mwenyewe.