30 bora form six 2011 wanapokea zawadi kutoka kwa waziri mkuu-bungeni

Hongera zao.., lakini huo ni upotevu wa muda wa Bunge, imeshindikana nini kufanya hilo tendo wakati wa muda wa wabunge wa kupumzika..,hasara haiko kwenye fedha pekee hata junsi tunavyotumia vibaya muda...
 
Hongera zao.., lakini huo ni upotevu wa muda wa Bunge, imeshindikana nini kufanya hilo tendo wakati wa muda wa wabunge wa kupumzika..,hasara haiko kwenye fedha pekee hata junsi tunavyotumia vibaya muda...

Sidhani kama huko ni kupoteza muda. Kuwapa heshma ya kupongezwa rasmi bungeni ni njia mojawapo ya kuwapa hamasa vijana wetu.
Wadogo zao nao watatamani siku moja wapongezwe, hivyo watafanya bidii masomoni.
 
Waziri Mkuu hana muda wa kujibu maswali ya papo kwa hapo kwa issues muhimu za nchi lakini ana muda wa kupongeza waliokwisha faulu
 
Sidhani kama huko ni kupoteza muda. Kuwapa heshma ya kupongezwa rasmi bungeni ni njia mojawapo ya kuwapa hamasa vijana wetu.
Wadogo zao nao watatamani siku moja wapongezwe, hivyo watafanya bidii masomoni.
Janja ya nyani hiyo ya kutuondoa kwenye ajenda ya msingi kuhusu nchi kuwa gizani, kwangu mimi mtoto kufaulu vizuri form six sio issue kwangu, labda niambiwe kuna aliyevumbuwa walau kitu kama sindano, hiyo kwangu inaweza kuwa issue, lakini sio maigizo haya ambayo yanaonesha wazi serikali haina cha kujivunia matokeo yake wanadandia matukio yoyote ambayo wanaona yatawasahaulisha watu shida zao.
Mimi sidanganyiki ng'ooooo, nyoko kabisa hili bunge la bibi kirobo na mtoto wa mkulima Lockerfeller.
 
Hata mimi nimewaona ! Lakini wawe makini watakapoingia chuo maana huku ukitafuta sifa kawa sekondari watachinjiwa baharini halafu hata tone moja la damu hallitaonekana, huku kuna idadi kubwa ya waliowahi kuwa maTO halafu wengi wameDISCO ile mbaya!
 
Eti Majengo Secondary Moshi ni shule ya KATA. Huyo ndiye waziri wa Elimu bana

Hata mimi nilishangaa na kuna shule moja iko wilaya ya Magu imesomwa kama shule ya kata nilishangaa maana ile shule imeanzishwa miaka ya tisini au tayari shule za kata zilikuwepo.
 
Waziri Mkuu hana muda wa kujibu maswali ya papo kwa hapo kwa issues muhimu za nchi lakini ana muda wa kupongeza waliokwisha faulu
Wazo lako ni zuri ila avetar yako inachefua sana jaribu kuweka nyingine
 
Inavyoonyesha viongozi wetu hawakumbuki shule za kata wameanzia lini.mimi ni mmoja wa wanafunzi waliomaliza form 6 mwaka huu.nakumbuka form 4 ya kwanza ya shule za kata imetoka sisi tukiwa advanced level 2010 kama sio 2011.sasa nashangaa hiyo product ya shule ya kata ya mwaka upi?pia form 6 ya 2011 ilimaliza form 4 mwaka 2008.tumedanganywa.....
 
ufaulu wa wasichana ukiwa wachche wanaweka top 30, ufaulu wa wasichana ukiwa mkubwa utasikia top 20 au hata top 10.....
 
Back
Top Bottom