Jachi James
Member
- Mar 31, 2013
- 30
- 1
Naombeni kufahamu juu ya ili kuna simu inauwezo wa 2g je kuna uwezokano wa kuibadirisha iwe kwenye 3g na kama kunauwezakano naomba msaada jinsi ya kufanya hvyo.
.je gari ya kubeba tani 1 inaweza kubeba tani 6?? hapana..ila kama ni gari ilikuwa na uwezo wa kubeba tani 6 afu watu wakaweka bodi ya tani 1 basi inawezekana...unabadilisha body tu ya tani 1 unaweka ya tani 6..then unabeba...simple! so hiyo yako ni simu aina gani..??
je gari ya kubeba tani 1 inaweza kubeba tani 6?? hapana..ila kama ni gari ilikuwa na uwezo wa kubeba tani 6 afu watu wakaweka bodi ya tani 1 basi inawezekana...unabadilisha body tu ya tani 1 unaweka ya tani 6..then unabeba...simple!
so hiyo yako ni simu aina gani..??
Uwezo wa 3G unategemea hardware(radio) na software ya simu. So kama simu ina hardware ya 2G tu hauwezi kuipa 3G. Kama ni setting tu somewhere kwenye simu imewekwa 2G basi inawezekana. Ni simu ipi?