Kama kuna Great thinker tunaesherekea siku yakuzaliwa pamoja....HONGERA!!!:hug:
Happy B/day Lizz,
Sisi wababu maombi yetu wala si mengi..ni wajukuu tu! Tunaogopa kizazi kisitoweke...Kama bado hebu fanya fanya haraka basi Lizz!
DC (1947)
Hahahaha....asante babu!!
Swala la wajukuu wala lisikusumbue maana yupo mmoja tayari!!!
Poa Lizz,
Ila ukumbuke kuwa kazi mliyopewa na muumba ni kubwa sana...Huyo mmoja hawezi kujaza hata kitongoji wakati mliambiwa muijaze dunia..
Fanya fanya bidii basi!
Sasa babu nikijaza mimi mwenyewe na wengine je???Tunagawana hilo jukumu bwana!!!
Hongera......ila natamani nikuimbie "Happy Birth Day to You| kwa Kiswahili nashindwa" anybody with idea how to sing "Happy Birth Day to You" in Swahili come up please!
Tunakula cake wapi swirry?
hujatoa venue
Kama kuna Great thinker tunaesherekea siku yakuzaliwa pamoja....HONGERA!!!:hug:
Du, tumeongea mengi halafu tutakasahau hiyo kitu,
Unajua nini FL1, ...Babu alikuwa anapenda sana keki..basi tu siku hazigandi!