24: Season 8.

Eqlypz

JF-Expert Member
May 24, 2009
4,065
632
Haya kwa wapenzi wa 24 ndio hivyo season 8 (inasemekana ni season ya mwisho) imeanza jana, kuto kuondoa uhondo kwa wale ambao hawajaangalia sitosema mengi.


24-intertitle.png

24-Season-8-Cast.jpg

Set in New York City, "Day Eight" unfolds amidst the shadows of the Statue of Liberty and the United Nations as President Allison Taylor (Jones), alongside new chief of staff ROB WEISS (Chris Diamantopoulos), negotiates international security with OMAR HASSAN (Anil Kapoor), a determined Middle Eastern leader visiting the U.S. on a peacemaking mission. As the new day begins, an upgraded CTU operates under the command of M.B.A.-schooled, razor-sharp head honcho BRIAN HASTINGS (Mykelti Williamson), who supervises quirky CHLOE O'BRIAN (Mary Lynn Rajskub), expert data analyst DANA WALSH (Katee Sackhoff) and systems analyst ARLO GLASS (John Boyd).

COLE ORTIZ (Freddie Prinze Jr.), an ex-Marine who wants to follow in Bauer's footsteps, leads field operations while Agent RENEE WALKER (Annie Wersching) returns with an agenda of her own.
 
Weeee mbona hamna lolote>?

Nini?

Jack Bauer na mwanae (Kim)
h_352_5359.jpg


Pres. Hassan, Pres Allison na Chief of staff mpya wa Pres. Allison
h_352_5339.jpg


CTU mpya

Brian Hastings (Director)
h_352_5379.jpg


Cole Ortiz na Kate Sackhoff
h_352_5394.jpg
 
Hizi dvd sijui zikoje, nilinunua moja yenye season 9 na sasa unadai season 8 ndio ya mwisho!
 
Hizi dvd sijui zikoje, nilinunua moja yenye season 9 na sasa unadai season 8 ndio ya mwisho!

braza mimi na wewe tunaangalia zile za kuibia hata mimi nimeishia season 9 ila hii aloweka mkuu wapa sijaiona. sie tunalishwa sumu tu hahaaaaa as usual
 
Hizi dvd sijui zikoje, nilinunua moja yenye season 9 na sasa unadai season 8 ndio ya mwisho!
ile ni sio season nine,ni utangulizi wa season 8..

ile movie nadhani jac alikuwa sierra leone au sio?

inaitwa REDEMPTION

ni movie tu
 
ile ni sio season nine,ni utangulizi wa season 8..

ile movie nadhani jac alikuwa sierra leone au sio?

inaitwa REDEMPTION

ni movie tu

Hapana, ni pale Jack Bauer alipoathiriwa na gesi ya sumu, Tony Almeida wakati huo alikuwa ana-act against Jack na CTU! Kim alipewa taarifa za kuumwa kwa baba yake na bahati mbaya ugonjwa huo uliotokana na gesi ya sumu hauna dawa lakini madaktari walhdai wangeweza kufanya majaribio ya kutafuta tiba, hata hivyo ni mpaka cell za mtu wa karibu zipatikane. Japokuwa Jack hakutaka Kim ajitokeze kutoa cells zake lakini Kim alikubali baadaye...Hiyo ndio Season 9 ya Kihindi! Hayo mambo ya Sierra Leone (Sangala?) ya REDEMPTION yalikuwa kwenye Season 7 au 8 ya Kihindi!
 
Hapana, ni pale Jack Bauer alipoathiriwa na gesi ya sumu, Tony Almeida wakati huo alikuwa ana-act against Jack na CTU! Kim alipewa taarifa za kuumwa kwa baba yake na bahati mbaya ugonjwa huo uliotokana na gesi ya sumu hauna dawa lakini madaktari walhdai wangeweza kufanya majaribio ya kutafuta tiba, hata hivyo ni mpaka cell za mtu wa karibu zipatikane. Japokuwa Jack hakutaka Kim ajitokeze kutoa cells zake lakini Kim alikubali baadaye...Hiyo ndio Season 9 ya Kihindi! Hayo mambo ya Sierra Leone (Sangala?) ya REDEMPTION yalikuwa kwenye Season 7 au 8 ya Kihindi!
sasa hiyo ya redemption ya sierra leone na hiyo ya toni akiwa against kaziangalie kwa makini,utagundua kuwa:
REDEMPTION-ni episode ya kwanza ya season eight
hiyo wanayoita 9 ni mwendelezo wa redemption baada ya jac kurudi kutoka africa
hiyo wanayoiita 9 HAIJAISHA.ina episode kama nane hivi...!kuna kumi na sita ziko pending

UTAHITIMISHA kwamba season 8 bado haijaisha....!
 
sasa hiyo ya redemption ya sierra leone na hiyo ya toni akiwa against kaziangalie kwa makini,utagundua kuwa:
REDEMPTION-ni episode ya kwanza ya season eight
hiyo wanayoita 9 ni mwendelezo wa redemption baada ya jac kurudi kutoka africa
hiyo wanayoiita 9 HAIJAISHA.ina episode kama nane hivi...!kuna kumi na sita ziko pending

UTAHITIMISHA kwamba season 8 bado haijaisha....!

Goeff nadhani mkanganyiko unatoke kwa sabau hizi kitu zipo za aina 2, zetu zile za Zhong Hua na zile za ukweli....zile za ukweli mtiriko wake uko tofauti na za mchina. nilienda kwa wale wanaouza za ukweli kipindi kile seaason 9 feki imetoka nikauliza wakanishangaa!!!
 
Goeff nadhani mkanganyiko unatoke kwa sabau hizi kitu zipo za aina 2, zetu zile za Zhong Hua na zile za ukweli....zile za ukweli mtiriko wake uko tofauti na za mchina. nilienda kwa wale wanaouza za ukweli kipindi kile seaason 9 feki imetoka nikauliza wakanishangaa!!!
...THEY ARE TOO COMMERCIAL!wanajua wakikwambia season nine ni lazima utanunua tu!.....

ukweli ni kwamba hata season 8 haijakwishnei

well,for now nakuchagulia ALIAS.it's one of the best series.nipo kwenye season ya tano sasa.

you can have one and two from me kama utapenda

I LIKE THEM MOVIES AND SERIES!....
 
sasa hiyo ya redemption ya sierra leone na hiyo ya toni akiwa against kaziangalie kwa makini,utagundua kuwa:
REDEMPTION-ni episode ya kwanza ya season eight
hiyo wanayoita 9 ni mwendelezo wa redemption baada ya jac kurudi kutoka africa
hiyo wanayoiita 9 HAIJAISHA.ina episode kama nane hivi...!kuna kumi na sita ziko pending

UTAHITIMISHA kwamba season 8 bado haijaisha....!

Mkuu,Redemption ni movie ambayo ndo kiini cha visa vilivyopo season 7 na si season 8(season 8 ndo kwanza imeanza kuoneshwa jana)...Halafu,katika Redemption si kwamba Jack alikuwa Sierra Leone,bali alikuwa katika nchi ya 'kifiction' ya Sangala(Afrika Magharibi) ambako ndiko wanatokea akina Ike Dubaku,muasi General Benjamin Juma,Youssou Dubaku,Waziri mkuu Ule Matobo n.k
 
Back
Top Bottom