Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Hi gentlemen & ladies!
Nakumbuka mbali sana miaka hiyo tulikuwa tunaupokea mwaka kwa style ya ajabu ya kuvuta bangi.
Tulikuwa tunasherehekea kwa muziki pale kijijini kwetu na ilipofika saa tano na dakika hamsini tunaanza kusokota mabangi, sita kasoro moja inawashwa na saa sita kamili tunapakia mzigo.
Ila nishaacha zamani kuvuta bangi, zilikuwa zama za ujinga.
Nakumbuka mbali sana miaka hiyo tulikuwa tunaupokea mwaka kwa style ya ajabu ya kuvuta bangi.
Tulikuwa tunasherehekea kwa muziki pale kijijini kwetu na ilipofika saa tano na dakika hamsini tunaanza kusokota mabangi, sita kasoro moja inawashwa na saa sita kamili tunapakia mzigo.
Ila nishaacha zamani kuvuta bangi, zilikuwa zama za ujinga.