Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Nzuri sana mdogo wangu Infantry Soldier
Wabeja na wewe pia
JPM anaweza kununua kwa maana yule baba yupo serious sana na kazi zake.Itabidi tanzania tununue moja kumbe bei poa tu
Ongezea general Qaseem Suleyman wa Iran8. MASHAMBULIZI YA DRONE DHIDI YA "MAGAIDI"
Katika kuhitimisha ngoja tuangalie baadhi ya wahanga wakuu wa mashambulizi hayo ya Drone, walivyopoteza maisha kutokana na kuvamiwa na ndege hizo za Drone:-
i). Anwar al-Awlak (40)
ii). Mohammed Emwazi a.k.a Muhammad Jassim Abdulkarim Olayan al-Dhafiri a.k.a Jihad John (27)
. Abu Hussain al-Britani (21),
iv). Kamal