YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Trend analysis hazidanganyi kugombea uspika tu watu wanakaribia 200
2025 natabiri wabunge waliopo wajiandae kutakuwa na wachukua fomu zaidi ya 100 kutaka kuteuliwa na CCM kuwa wagombea wa jimbo na viti maalum
Ugombea urais kupitia CCM Mama Samia naye ajiandae kutakuwa na watia nia zaidi ya 500 tunarudi enzi za Kikwete za uspika,uraisi au ubunge na udiwani hausomewi!!! Watu hawaogopi kabisa kuchukua fomu
2025 natabiri wabunge waliopo wajiandae kutakuwa na wachukua fomu zaidi ya 100 kutaka kuteuliwa na CCM kuwa wagombea wa jimbo na viti maalum
Ugombea urais kupitia CCM Mama Samia naye ajiandae kutakuwa na watia nia zaidi ya 500 tunarudi enzi za Kikwete za uspika,uraisi au ubunge na udiwani hausomewi!!! Watu hawaogopi kabisa kuchukua fomu