NGOMEKONGWE2021
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 543
- 1,064
Tatizo upinzani hakuna anayefaa kuwa raisHivi nani anafaa kua raisi toka upinzani , mbona hata haonekani
Tatizo upinzani hakuna anayefaa kuwa raisHivi nani anafaa kua raisi toka upinzani , mbona hata haonekani
Mchaga achukue nchi? Aagh wapiUdhindani wa sasa hauwezi kushinda kuchukua nchi Tanzania, ingawa ni muda sahihi sana watu wanahitaji altenaltive chama kingine kikubwa.
Ukweli ni kwamba hawana Uongozi, Sera,mikakati na wataalamu sahihi wa kuwasaidia kuunganisha Tanzania. Hilo Hata sidhani ni lengo lao.
Kuna wengi hawana vyama, wana CCM wasioridhika na mwenendo wa sasa. Mamilioni.
Wao wamekomalia kutukana nchi, Wasukuma wote, CCM wote, wote wasiounga hoja zao.
Mikakati sahihi ni kuungana nao, kuangalia na wapi tunakubaliana, tofauti zetu tunazikabili vipi.
Mfano issue ya Mbowe, matatizo ya sasa ya Maji, umeme, ajira , kodi, tozo, biashara, kilimo, wengi hawakubaliani na jinsi CCM inavyokabiliana nayo.
Hakuna kwa sasa kiongozi mwenye mashiko kama Dr Slaa anayeonyesha njia mbadala kutumia lugha sahihi, convincing language.
Mchaga achukue nchi? Aagh wapi
hawa ndio wanawabakiza ccm madarakaniWewe ni mjinga kweli watu wote wakiamua unaweza uibe na bado zisitoshe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mchaga achukue nchi? Aagh wapi