samsung available
Member
- Jan 29, 2021
- 6
- 3
tatizo lake yeye hana kabila la kitanzania...Abadili Nini watu hawataki kuambiwa ukweli,, niambie strongholds ya Samia ambayo anaweza vuna ATA kura 1m
na watanzania wanachaguana kimaeneo pamoja na kikabila..
yeye mzenji lazima useme hivyo