johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Mzee Jakaya Mrisho Kikwete alitawala kama Rais wa JMT kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Kizazi cha utawala huu ambacho hujulikana kama .com kitaanza rasmi kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Hiki ndio kizazi kinachofikiriwa kuleta mageuzi ya kweli ifikapo 2030 wakati huo Dr Kigwangalla, Dr Mwigullu Nchemba, January Makamba, Zitto Kabwe, Jokate Mwegelo, Nape Nnauye, Halima Mdee, Halima Bulembo, Ummy Mwalimu na kadhalika na kadhalika watakuwa wanaitwa " Babu" au "Bibi"
Kizazi hiki kisipoandaliwa vizuri kinaweza kupindua meza kwa sababu historia yao inaanzia kwa Kikwete na Magufuli na hawamjui Mkapa, Mwinyi wala Nyerere so rejea yao kuu ni hayati Magufuli na Rais wa sasa mh Samia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kizazi cha utawala huu ambacho hujulikana kama .com kitaanza rasmi kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Hiki ndio kizazi kinachofikiriwa kuleta mageuzi ya kweli ifikapo 2030 wakati huo Dr Kigwangalla, Dr Mwigullu Nchemba, January Makamba, Zitto Kabwe, Jokate Mwegelo, Nape Nnauye, Halima Mdee, Halima Bulembo, Ummy Mwalimu na kadhalika na kadhalika watakuwa wanaitwa " Babu" au "Bibi"
Kizazi hiki kisipoandaliwa vizuri kinaweza kupindua meza kwa sababu historia yao inaanzia kwa Kikwete na Magufuli na hawamjui Mkapa, Mwinyi wala Nyerere so rejea yao kuu ni hayati Magufuli na Rais wa sasa mh Samia.
Mungu ni mwema wakati wote!