Ben Bella
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 529
- 1,856
Umeongea ukweli mtupu mkuu. Si unaona hata mteule wa Rais naye anawakandamiza wananchi kwa kubariki huu unyama wa hawa askari akina Tesha.Nchi hii mwananchi wa kawaida hajawai kuheshimika.Ndo maana unaona kuna mambo ya ovyo ovyo kila mahali yanayofanywa na vyombo vya serikali dhidi ya wananchi.Hadi siku mwananchi atakapotambua thamani yake ndio siku atakayoanza kuheshimika.ila sio mbaya polepole tutafika tu.Kwasasa wacha tuendelee kupiga kelele labda zitaamsha waliolala usingizi wa pono.