yeddy guyy
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 627
- 489
Duh matamko yatakuwa mengi sana maendeleo yatakuwa makubwa sana.ila wale wazee wa ngada na wauza nyuchi pale buguruni wangekiona chamoto
Over my dead body. Bashite yuko hapa kwa ajili ya kubebwa tu na kamwe habebeki zaidi ya hapo. Kitakachotokea kwake baada ya 2025 ni kupelekwa mahakamani kwa kosa la jinai. Kosa lake linafahamiika. Kumbuka kosa la jinai halina ukomo.nani aliyeweza?
Kuna story moja ya Isaac Asimov, Science Fiction, nafikiri ni "Franchise".
Wamarekani wametengeneza computer ambayoiko so advanced,inawauliza watu maswali mengi sana,halafu, badala ya kuwa na uchaguzi, inateua mtu mmoja tu apige kura,na kura ya mtu huyo inakuwa imewakilisha vizuri kura za Wamarekani wote.
Kuna mtu anaitwa Norman Miller, anateuliwa na computer ya Multivac kuwa ndiye atapiga kura kwa niaba ya Wamarekani wote katikauchaguzi wa mwaka 2008 (hizi stories ni za kutoka 1940s, kwa hiyo 2008 waliona miaka mingi sana mbele)
Nikikumbuka hii story, naona kama sisi hatuna computer ya Multivac ituchagulie mtu wa kutuchagulia rais, lakini Mwenyekiti wa CCM anaweza kuwa ndiye mtu ambaye atatuchagulia kwa namna moja au nyingine.
Na anaweza kumchagua RC makonda kuwa mgombea kulingana na utendaji wake wa kazi,
Ikumbukwe mbinu hii ilitumiwa na Nyerere mwaka 1984/5 na akaitumia mwaka 1995 baada ya kuona orodha iloletwa haifai akasema muwekeni hata waziri Mkapa kwenye wagombea ili aje ampitishe,
Kwa bahati mbaya mbinu hii iliingiliwa na virus mwaka 2015 baada ya Chaguo la Kikwete kutupwa mbali
Na Mkapa akaitumia kutekeleza,
Haya ni mawazo yangu ambayo wengi wata realise siku ikitokea
Britanicca
NimEipendaKuna story moja ya Isaac Asimov, Science Fiction, nafikiri ni "Franchise".
Wamarekani wametengeneza computer ambayoiko so advanced,inawauliza watu maswali mengi sana,halafu, badala ya kuwa na uchaguzi, inateua mtu mmoja tu apige kura,na kura ya mtu huyo inakuwa imewakilisha vizuri kura za Wamarekani wote.
Kuna mtu anaitwa Norman Miller, anateuliwa na computer ya Multivac kuwa ndiye atapiga kura kwa niaba ya Wamarekani wote katikauchaguzi wa mwaka 2008 (hizi stories ni za kutoka 1940s, kwa hiyo 2008 waliona miaka mingi sana mbele)
Nikikumbuka hii story, naona kama sisi hatuna computer ya Multivac ituchagulie mtu wa kutuchagulia rais, lakini Mwenyekiti wa CCM anaweza kuwa ndiye mtu ambaye atatuchagulia kwa namna moja au nyingine.
Na anaweza kumchagua RC makonda kuwa mgombea kulingana na utendaji wake wa kazi,
Ikumbukwe mbinu hii ilitumiwa na Nyerere mwaka 1984/5 na akaitumia mwaka 1995 baada ya kuona orodha iloletwa haifai akasema muwekeni hata waziri Mkapa kwenye wagombea ili aje ampitishe,
Kwa bahati mbaya mbinu hii iliingiliwa na virus mwaka 2015 baada ya Chaguo la Kikwete kutupwa mbali
Na Mkapa akaitumia kutekeleza,
Haya ni mawazo yangu ambayo wengi wata realise siku ikitokea
Britanicca
Siyo anaweza! Atakuwa Dictator Balaa siyo kwa Ubabe Ule!Mbona watu watafungwa Sana , anaweza kuwa dictator mbaya kuwahi kutokea
Hahaha aisee Pascal Mayalla anamkubali pia makondaWatanzania wanafiki sana na njaa kali zaidi hawauwezi bado huu utaratibu
2025 Rais ni Muslim Makonda ni dini gani?
Shekhe Yayaha kapata mrithi..
Akili za kuambiwa!!Wa Kwanza nani
Umemchek heeMchochezi wewe unataka nini wakati sisi tumeshanyooka? Msubiri Lissu ndo ana mdomo wa kusema kisheria.
KabisaEnzi za kuwa na vipindi vya uraisi kutegemea na dini ya mtu zimepita. Kwanza huo utamaduni sio rasmi katika nchi hii kwamba akitawala Muislamu basi anayefuata ni Mkiristu! Nchi hii haina dini unaanzia wapi kufikiria jambo la namna hiyo?
Katiba ambayo ni msingi Wa sifa na vigezo vya nani awe Raisi haitaji jambo hilo!
Kama utamaduni huo uliwahi kuwepo huko nyuma mahitaji yaliyopelekea kuwa hivyo kwa sasa hayapo tena! Hii ni sawa na oral tradition na thinking ya kusema zamu hii mgombea atoke visiwani na zamu ile atokee bara. Mapokeo hayo sasa yamekufa kwa sababu kiini cha kufanya hivyo hakipo tena.
Tunapoongelea Raisi Wa Jamhuri ya Muungano hatuzungumzi tena habari ya Zanzibar wala Bara bali nchi moja ambapo kila mtanzania mwenye sifa anastahili kugombea na wala sio tena vigezo vya Ubara au Uzanzibari.
Hatutaki habari ya Zamu hii mkiristu au zamu ile muislamu. Tunataka mtu atakayeweza kuongoza nchi kulingana na mahitaji ya wakati huo ya nchi yetu na sio imani ya mtu.
Hivi tunapojenga hoja ya Ukiristu na Uislamu, tunafanya hivyo tukiwa timamu juu ya idadi halisi ya wapagani na waumini wa imani nyingine tofauti na hizo mbili? Hao wasio Waislamu na Wakiristu,wao zamu yao ni lini?
Kwa kazi ilofanyika pale london Bila kingunge Lowassa na Che nkapa Nchonga angemuona Mkwere akiwa Rais wa nneNAONA MNAINGILIA HATA KAZI YA MUNGU. NANI KAWAAMBIA KUWA MWAKA HUO MAKONDA ATAKUWEPO HAI, HATA NYERERE ALISEMA ATAMUONA RAIS WA NNE LAKINI MIPANGO YA MUNGU HAIVURUGWI NA MWANADAMU
una akili sana mkuuuu[HASHTAG]#bringbackbensaanane[/HASHTAG]
Mkuu britanicca,Kuna story moja ya mtu wa kutuchagulia rais, Mwenyekiti wa CCM anaweza kuwa ndiye mtu ambaye atatuchagulia kwa namna moja au nyingine.
Na anaweza kumchagua RC makonda kuwa mgombea kulingana na utendaji wake wa kazi,
Ikumbukwe mbinu hii ilitumiwa na Nyerere mwaka 1984/5 na akaitumia mwaka 1995 baada ya kuona orodha iloletwa haifai akasema muwekeni hata waziri Mkapa kwenye wagombea ili aje ampitishe,
Haya ni mawazo yangu ambayo wengi wata realise siku ikitokea
Britanicca
Kipanya ni hatari!!UPUUZI WA MASOUD KIPANYA!