2023 epuka marafiki jasusi wa biashara

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,718
Hii code ni ngumu kumeza ila ndio inawapa ugumu sana wafanyabiashara mnaochipukia na wakonge.

Ukiona biashara yako inakwenda vizuri sana na kupiga hatua,hapo utaona kila mtu kuwa karibu nawe na kwa ukaribu sana basi tambua unafanyiwa ujasusi wa biashara.

ujasusi wa biashara unaweza kuwa na lengo zuri kwao au lengo baya kwako.

*lengo zuri kwao
kuangalia mbinu kwako unatoa wapi na wapi mfano chimbo au soko lako wateja wake na mazingira yake.
wakijua haya ni rahisi kufanikisha mbinu zao kwa mambo yao.
Mfano:Kitu gani unatumia kufanikisha kwenye biashara zako.ili wahindi walituweza sana kipindi cha kupiga picha passport size uwezi kuingia ndani kujua kuna mashine gani.hata kama anakufahamu

*lengo baya kwako
kujua mapungufu yako na kuyafanyia kazi wao kama njia mbadala.
Mfano:unaweza kuwa kwenye biashara kuna mapungu ila hayatoki ndani wakijua ni rahisi kuyatumia. faisali mfano tosha kwa yanga kuelekea Azam japo sina taarifa.

Marafiki jasusi wa biashara wapo dunia nzima sio tu ngazi kubwa hata kwa aliye karibu yako.
kumbuka rafiki jasusi wa biashara wanajitokeza kwenye mafanikio ili kupata wanachokitaka kama

(1)Kitu gani au mtu gani anakupelekea kufikia haya kwenye biashara.
mfano: Mshika biashara yako hawa wanarubuniwa sana.

(2)Eneo uliopo
mfano: rafiki jasusi wa biashara anaona kodi unayolipa ni ndogo na kumshawishi muusika kwa pesa yoyote ya upangishaji kama utamudu.

(3)ufitinaji
hapa wengi wameumia sana na ukiona unapata changamoto ni marafiki jasusi wa biashara kama mnafanya inafanana tegemea kukumbana na changamoto.

Hitimisho.
Uwezi kukwepa rafiki ila sio kila rafiki anayekuja kwako kaja kuwa rafiki wamekuja na yao.

Kitabu kizuri sana
IMG_0491.jpg
 
Umenikumbusha kuna kima mmoja alijifanya rafiki kumbe ananisoma mzigo natoa wapi likaja kuuza bidhaa kama zangu tena kwa bei ya chini kishenzi
 
Kama una mtoto anaelewa kingereza mpe hii cartoon spongebob.
haku akusumilie kwa nini bosi wao muuza mgahawa hataki siri za kampuni kuvuja.
Ni cartoon ila utaelewa haya
IMG_0492.jpg
 
Umenikumbusha kuna kima mmoja alijifanya rafiki kumbe ananisoma mzigo natoa wapi likaja kuuza bidhaa kama zangu tena kwa bei ya chini kishenzi

kitaalamu ume leak code za biashara zako. ukiona biashara inavamiwa tambua imesha leak
 
Hii code ni ngumu kumeza ila ndio inawapa ugumu sana wafanyabiashara mnaochipukia na wakonge.

Ukiona biashara yako inakwenda vizuri sana na kupiga hatua,hapo utaona kila mtu kuwa karibu nawe na kwa ukaribu sana basi tambua unafanyiwa ujasusi wa biashara.

ujasusi wa biashara unaweza kuwa na lengo zuri kwao au lengo baya kwako.

*lengo zuri kwao
kuangalia mbinu kwako unatoa wapi na wapi mfano chimbo au soko lako wateja wake na mazingira yake.
wakijua haya ni rahisi kufanikisha mbinu zao kwa mambo yao.
Mfano:Kitu gani unatumia kufanikisha kwenye biashara zako.ili wahindi walituweza sana kipindi cha kupiga picha passport size uwezi kuingia ndani kujua kuna mashine gani.hata kama anakufahamu

*lengo baya kwako
kujua mapungufu yako na kuyafanyia kazi wao kama njia mbadala.
Mfano:unaweza kuwa kwenye biashara kuna mapungu ila hayatoki ndani wakijua ni rahisi kuyatumia. faisali mfano tosha kwa yanga kuelekea Azam japo sina taarifa.

Marafiki jasusi wa biashara wapo dunia nzima sio tu ngazi kubwa hata kwa aliye karibu yako.
kumbuka rafiki jasusi wa biashara wanajitokeza kwenye mafanikio ili kupata wanachokitaka kama

(1)Kitu gani au mtu gani anakupelekea kufikia haya kwenye biashara.
mfano: Mshika biashara yako hawa wanarubuniwa sana.

(2)Eneo uliopo
mfano: rafiki jasusi wa biashara anaona kodi unayolipa ni ndogo na kumshawishi muusika kwa pesa yoyote ya upangishaji kama utamudu.

(3)ufitinaji
hapa wengi wameumia sana na ukiona unapata changamoto ni marafiki jasusi wa biashara kama mnafanya inafanana tegemea kukumbana na changamoto.

Hitimisho.
Uwezi kukwepa rafiki ila sio kila rafiki anayekuja kwako kaja kuwa rafiki wamekuja na yao.

Kitabu kizuri sana View attachment 2460945
Kuna big boy(kampuni kubwa) ilinifanyia huu umafia. Walikuja kwangu kujidai Wana uhitaji mkubwa. Wakaleta biashara kama mwezi hivi na nilikuwa nawajua ni competitor in one way or another. Sasa wakanivaa na gear kuwa wanaomba stock list ili waone nini tunacho wachukue jumla. Nikawashtukia nikawakwepa nikawa sijibu e mail zao.
Siku sipo wakaibuka wakakuta mtu mwingine ofisini na yeye kwa ujinga akajua kapata Bongo ya biashara akawapa stock list yote. Stock list ina vitu na details zake ambazo wao hawazijui. Aisee narudi eti wananisimulia kuwa tumepata biashara na watu so and so. Nikawaambia wajinga nyinyi Mishawaka details ambazo watatumia kuagiza mzigo. Baada ya miezi miwili jamaa wameleta mzigo containers kadhaa wanasambaza mjini wasivyo na aibu wamekuja hadi kwangu waniuzoe wholesale. Niliwapa middle finger. Wana mzigo mkubwa ila mpaka leo Wana struggle kuuza kuna code hawajaijua.
 
Kuna big boy(kampuni kubwa) ilinifanyia huu umafia. Walikuja kwangu kujidai Wana uhitaji mkubwa. Wakaleta biashara kama mwezi hivi na nilikuwa nawajua ni competitor in one way or another. Sasa wakanivaa na gear kuwa wanaomba stock list ili waone nini tunacho wachukue jumla. Nikawashtukia nikawakwepa nikawa sijibu e mail zao.
Siku sipo wakaibuka wakakuta mtu mwingine ofisini na yeye kwa ujinga akajua kapata Bongo ya biashara akawapa stock list yote. Stock list ina vitu na details zake ambazo wao hawazijui. Aisee narudi eti wananisimulia kuwa tumepata biashara na watu so and so. Nikawaambia wajinga nyinyi Mishawaka details ambazo watatumia kuagiza mzigo. Baada ya miezi miwili jamaa wameleta mzigo containers kadhaa wanasambaza mjini wasivyo na aibu wamekuja hadi kwangu waniuzoe wholesale. Niliwapa middle finger. Wana mzigo mkubwa ila mpaka leo Wana struggle kuuza kuna code hawajaijua.
Tengeneza hela kupitia hao Wananchi Mkuu...
 
Kariakoo ndo zao. Kijana ukiwa mbunifu ukaanza kupiga hela kuna vibopa wataunda urafiki ukija kushtuka kaagiza bidhaa kontena zima na anauza kwa bei ya chini. Ili kuepuka haya mambo inabidi kila siku ujifunze jambo jipya kwenye biashara unayofanya. Jasusi akiiga mbinu hii wewe unaenda na mbinu nyingine.
 
Hii code ni ngumu kumeza ila ndio inawapa ugumu sana wafanyabiashara mnaochipukia na wakonge.

Ukiona biashara yako inakwenda vizuri sana na kupiga hatua,hapo utaona kila mtu kuwa karibu nawe na kwa ukaribu sana basi tambua unafanyiwa ujasusi wa biashara.

ujasusi wa biashara unaweza kuwa na lengo zuri kwao au lengo baya kwako.

*lengo zuri kwao
kuangalia mbinu kwako unatoa wapi na wapi mfano chimbo au soko lako wateja wake na mazingira yake.
wakijua haya ni rahisi kufanikisha mbinu zao kwa mambo yao.
Mfano:Kitu gani unatumia kufanikisha kwenye biashara zako.ili wahindi walituweza sana kipindi cha kupiga picha passport size uwezi kuingia ndani kujua kuna mashine gani.hata kama anakufahamu

*lengo baya kwako
kujua mapungufu yako na kuyafanyia kazi wao kama njia mbadala.
Mfano:unaweza kuwa kwenye biashara kuna mapungu ila hayatoki ndani wakijua ni rahisi kuyatumia. faisali mfano tosha kwa yanga kuelekea Azam japo sina taarifa.

Marafiki jasusi wa biashara wapo dunia nzima sio tu ngazi kubwa hata kwa aliye karibu yako.
kumbuka rafiki jasusi wa biashara wanajitokeza kwenye mafanikio ili kupata wanachokitaka kama

(1)Kitu gani au mtu gani anakupelekea kufikia haya kwenye biashara.
mfano: Mshika biashara yako hawa wanarubuniwa sana.

(2)Eneo uliopo
mfano: rafiki jasusi wa biashara anaona kodi unayolipa ni ndogo na kumshawishi muusika kwa pesa yoyote ya upangishaji kama utamudu.

(3)ufitinaji
hapa wengi wameumia sana na ukiona unapata changamoto ni marafiki jasusi wa biashara kama mnafanya inafanana tegemea kukumbana na changamoto.

Hitimisho.
Uwezi kukwepa rafiki ila sio kila rafiki anayekuja kwako kaja kuwa rafiki wamekuja na yao.

Kitabu kizuri sana View attachment 2460945
Hili bandiko nalipa 5***** maana nataka niandae formula kwenye KIOSK changu juu ya upishi wa kipekee iwe ni ngumu kwa watu kuelewa nini natumia kwenye uandaaji wa misosi
 
Hizi biashara za ushindani acha kabisa.
Wewe unatuma spy kule na wao wanatuma spy kuja kwako.

Mwisho wa siku maboss inabidi mkae muwekane sawa.
 
Back
Top Bottom