Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Madini yalikuwa yanatoroshwa hovyo, nchi ya Kenya ndio ilikuwa kitovu cha uuzwaji wa dhahabu na madini mengi toka Tanzania.
Pesa za umma zilikuwa zinaliwa hovyo na kuingia kwenye mifuko ya mafisadi, hayati JPM akasema kila pesa ya umma iingie mfuko wa hazina.
Kwa hakika ni mengi alitufumbua na sasa tumeahajua maana kumbe hata maji ya kuzalisha umeme huwa hayapungui ila wanaCCm wakishirikiana na mafisadi wa Tanesco huwa wanayafungulia ili mgao wa umeme uwepo na wao kupiga madili.
# Lazima tupaze sauti
Pesa za umma zilikuwa zinaliwa hovyo na kuingia kwenye mifuko ya mafisadi, hayati JPM akasema kila pesa ya umma iingie mfuko wa hazina.
Kwa hakika ni mengi alitufumbua na sasa tumeahajua maana kumbe hata maji ya kuzalisha umeme huwa hayapungui ila wanaCCm wakishirikiana na mafisadi wa Tanesco huwa wanayafungulia ili mgao wa umeme uwepo na wao kupiga madili.
# Lazima tupaze sauti