Hapo bila kodi traMSRP ni $29,000.
Eeh kaamua ajikomboe na usafiri wa maana! 600 BenzExtrovert Isanga family RRONDO ..
naona mtanzani mwenzetu kashusha Merced Maybach nasikia...
View attachment 1750610
Nahisi barabarani atakuwa unique, hadi yaje kuwa mengi kama VW sio leo wala keshoEeh kaamua ajikomboe na usafiri wa maana! 600 Benz
Gari ya 600M hio sio kitoto aiseeNahisi barabarani atakuwa unique, hadi yaje kuwa mengi kama VW sio leo wala kesho
Hapo TRA bado hawajalala nae mbele..😂😂😂😂.. dude hilo ni V12. Hata USA ukimiliki unaonekana upo njema. Ni gari zenye class ya dunia. Nikajua umeishusha au chuma ya BavariaGari ya 600M hio sio kitoto aisee
Binafsi napenda zaidi SUV.Hapo TRA bado hawajalala nae mbele.... dude hilo ni V12. Hata USA ukimiliki unaonekana upo njema. Ni gari zenye class ya dunia. Nikajua umeishusha au chuma ya Bavaria
kweli kabisa, mtu anae amua nunua hiyo kwake pesa sio fumbo wala msamiatiPia, ukiweza toa 600M ya kununua gari hushindwi toa 600 ingine kulilipia kodi.
Ana pesa na anajua kuzitumia.kweli kabisa, mtu anae amua nunua hiyo kwake pesa sio fumbo wala msamiati.
Nyie watoto zao, hamuwafundishi namna ya kuzitumia. Hamuwapi naujanja.. manishi kuwashauri wanunue ma V8Ana pesa na anajua kuzitumia
Kuna wazee wanna hela wanaishia kuziacha bank
Nyie watoto zao, hamuwafundishi namna ya kuzitumia. Hamuwapi naujanja.. manishi kuwashauri wanunue ma V8
😂😂😂😂 .. huyo mzee ana hela za kawaida na hajatembea.. Ingawa ni kweli pia kuna mzee namjua ana hela vibaya ila miaka nenda rudi ana rav 4 ile ileHivi unajua ilivyo ngumu kumtenganisha Mzee na rav 4 old model?
mzee ana hela siyo mchezo😂😂😂😂 .. huyo mzee ana hela za kawaida na hajatembea.. Ingawa ni kweli pia kuna mzee namjua ana hela vibaya ila miaka nenda rudi ana rav 4 ile ile