FrancisDA
Member
- Mar 22, 2018
- 32
- 24
Nina maana kubwa sana kusema hayo kwani kawa awamu hii ya tano wanachi wamepima uongozi uliopo madarakani kupitia mambo haya
•Uchumi kwa mtu mmoja mmoja na Taifa zima
•Hali ya usalama nchi
•Utendaji kazi kwa viongo na maamuzi yao kwa wanachi wanao waongoza
Sinta weza kushanga vyama pinzani vikipokea wanachama wengi na kupata viti vingi Bungeni na kinyume cha hapo
•Uchumi kwa mtu mmoja mmoja na Taifa zima
•Hali ya usalama nchi
•Utendaji kazi kwa viongo na maamuzi yao kwa wanachi wanao waongoza
Sinta weza kushanga vyama pinzani vikipokea wanachama wengi na kupata viti vingi Bungeni na kinyume cha hapo