Papaa_Mobimba
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 208
- 377
Huna jipya Na story zako za Vijiweni. 2020 CCM KWISHAA.Wote hao watakuwa Sambamba Na Rais Magufuli kumpigania Na kumtetea kwa Hali Na Mali japo unaruhusiwa kuota upendavyo!
CCM Ni Chama Cha 'Mapinduzi'
Mabingwa wa Utabiri washatabiri Sana Anguko la CCM huko Nyuma lakin wakadhalilika
Mzee Nyerere alitulia Sana Kutengeneza CCM akatengeneza kitu Kweli Kweli, kwa hili twamshukuru Sana
"kinacho Sura,Kina Kisogo"