bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 556
Duu unajiona bonge la mjanja basi huo ndio ushamba mlio kuwa mnaambiwaKwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .