Uchaguzi 2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni

Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,

Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020

Mtaenguliwa hadi mtie akili

Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf

Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa

Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema

Halima mdee , analialia tu twitter

Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni

Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani

2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Duu unajiona bonge la mjanja basi huo ndio ushamba mlio kuwa mnaambiwa
 
Watanzania wakiaamua inawezekana wakamtoa Magufuri. Na wala kikundi kidogo cha Jiwe usije kikadhani Watanzania ni waoga. Hizi dharau za Magufuri zikishafika kiwango cha kutovumilika tutaingia mtaani. Hii nchi siyo mali ya Magufuri bali ya Watanzania wote.

Hata kama Watanzania ni wapole au waoga huko anakokwenda watu watavua gwanda la uwoga. Tutamrudisha kwao Rwanda bila kupenda.
 
Upinzani ukifa kama unavyotamani, CCM Itaanza kuuwa raia. Hata wewe hautakuwa salama. Eti chama kilichotawala tangu 1961 mpaka leo hakiwezi kujenga hoja. Kinawaogopa hata raia wasiomaliza darasa la saba. Kinategemea hujuma kwa wapinzani, matumizi ya polisi, kuteka, kuua, mahakama na jeshi.

Inachekesha Kinaogopa hata raia ambao hawajamaliza la saba kwa hoja
 
Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni

Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,

Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020

Mtaenguliwa hadi mtie akili

Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf

Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa

Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema

Halima mdee , analialia tu twitter

Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni

Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani

2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .


Msifikiri tatizo ni vyama vya siasa pekee ! Tatizo ni Watanzania wenyewe kama mnakubali wafanya wanavyotaka iko siku tukipata viongozi wabaya tutajuta. Wananchi ndiyo wenye uwezo wa kukubali au kukataa
 
Msifikiri tatizo ni vyama vya siasa pekee ! Tatizo ni Watanzania wenyewe kama mnakubali wafanya wanavyotaka iko siku tukipata viongozi wabaya tutajuta. Wananchi ndiyo wenye uwezo wa kukubali au kukataa

Hivi kuna possibility ya kupata kiongozi mbovu kuliko Magufuli?
 
Ni ujinga kufurahia kufa kwa upinza. Ni akili mgando.
Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni

Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,

Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020

Mtaenguliwa hadi mtie akili

Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf

Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa

Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema

Halima mdee , analialia tu twitter

Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni

Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani

2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
 
Hakuna vita chafu na ya kipumbavu kama vita ya kuua upinzani.
Ukweli mchungu sana huu,wapinzani wakibakia kufanya siasa za Twita,fesibuku na insta 2020 wanapotea kabisa kwenye ramani,yaani baada ya 2020 wasipokuwa makini CDM na ACT kwa huku bara kitakuwa kama chama cha mrema hakina mbunge wala diwani kitabaki na ofisi tu.

Wewe ushaona dalili mapema na bado unaendelea kucheka na nyani lazima uvune mabua,kigogo2014 alionya mapema jamani tar 24 Nov mtalia nyinyi jamaa wamepanga mbinu chafu wao wakamwambia wapo vizuri ,ok ngoja tuone huo uzuri wao.

Nasikitika hadi Heche nae TARIME kasanda watu wamepita bila kupingwa.
 
Kilio na machozi vimewakuta wagombea, viongozi, wana chama na hata mashabiki wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Ili limetokea si mjini, vijiji hata visiwani pia nao wameonjo joto la jiwe. Katika KISIWA CHA KELEBE kilichopo jimbo la Muleba kaskazini, mkoa wa Kagera, wagombea wa CHADEMA pia WAMEFWEKELEWA MBALI.

Aliyekuwa anagombea nafasi wa mwenyekiti wa kijiji bwana SADIKI EVALISIT maarufu kwa jina la SEPE WA SEPE. Jina lake limeondolewa na msimamizi wauchaguzi ambaye pia ni ofisa mtedaji kijiji kijana AUGOSTNO FRANCO. Kwa madai kuwa hakulejesha fomu. Wakati mgombea alilejesha fomu huku amesindikizwa na katibu wa CHADEMA kata KANYAMBO 'na m/kiti CHADEMA kata RAFAEL GOGO NYAMA.

Pia aliye kuwa mgombea kitongoji cha FURUZA mwana JEMUS PAULO maarufu BENGAZI naye pia ametenguliwa, kwa madai eti kakosea kuandika jina FURUZA. Je alichokuwa anamaani katika kauli hiyo, ndio hicho ama tusubiri 2020. Lakini tambueni hakuna mlima usio kuwa 'na kilele. Pia jua kuwa hakuna kisicho kuwa 'na mwisho.
 
Kilio na machozi vimewakuta wagombea, viongozi, wana chama na hata mashabiki wa vyama vya upinzani hasa CDM.Ili limetokea si mjini, vijiji hata visiwani pia nao wameonjo joto la jiwe.Katika KISIWA CHA KELEBE kilichopo jimbo la muleba kaskazini, mkoa wa kagera, wagombea wa CDM pia WAMEFWEKELEWA MBALI. Aliye kuwa anagombea nafasi wa mwekiti wa kijiji bwana SADIKI EVALISIT maarufu kwa jina la SEPE WA SEPE. Jina lakelimeondolewa na msimamizi wauchaguzi ambaye pia ni ofisa mtedaji kijiji kijana AUGOSTNO FRANCO. Kwa madai kuwa hakulejesha fomu. Wakati mgombea alilejesha fomu huku amesindikizwa na katibu wa CDM kata KANYAMBO 'na mkiti CDM kata RAFAEL GOGO NYAMA. Pia aliye kuwa mgombea kitongoji cha FURUZA mwana JEMUS PAULO maarufu BENGAZI naye pia ametenguliwa, kwa madai eti kakosea kuandika jina FURUZA. Je alichokuwa anamaani katika kauli hiyo, ndo hicho ama tusubiri 2020. Lakini tambueni hakuna mlima usio kuwa 'na kilele. Pia jua kuwa hakuna kisicho kuwa 'na mwisho.
Wazee wa buku 7
tapatalk_1571426771767.jpeg
 
Kilio na machozi vimewakuta wagombea, viongozi, wana chama na hata mashabiki wa vyama vya upinzani hasa CDM.Ili limetokea si mjini, vijiji hata visiwani pia nao wameonjo joto la jiwe.Katika KISIWA CHA KELEBE kilichopo jimbo la muleba kaskazini, mkoa wa kagera, wagombea wa CDM pia WAMEFWEKELEWA MBALI. Aliye kuwa anagombea nafasi wa mwekiti wa kijiji bwana SADIKI EVALISIT maarufu kwa jina la SEPE WA SEPE. Jina lakelimeondolewa na msimamizi wauchaguzi ambaye pia ni ofisa mtedaji kijiji kijana AUGOSTNO FRANCO. Kwa madai kuwa hakulejesha fomu. Wakati mgombea alilejesha fomu huku amesindikizwa na katibu wa CDM kata KANYAMBO 'na mkiti CDM kata RAFAEL GOGO NYAMA. Pia aliye kuwa mgombea kitongoji cha FURUZA mwana JEMUS PAULO maarufu BENGAZI naye pia ametenguliwa, kwa madai eti kakosea kuandika jina FURUZA. Je alichokuwa anamaani katika kauli hiyo, ndo hicho ama tusubiri 2020. Lakini tambueni hakuna mlima usio kuwa 'na kilele. Pia jua kuwa hakuna kisicho kuwa 'na mwisho.
Upinzani utakuwepo sema kutakuwa hakuna wawakilishi wa wananchi kutoka upinzani....maana wanawakata wote kinguvu.
 
Kama ni kweli kuna hukumu ya moto huko jehenamu,yataletwa magari ya mafuta kisha yatapinduliwa,kisha ccm wote wataambiwa wakaibe mafuta kiongozi wao atatumwa akachomoe betri,kitakachofuata itakuwa vilio na kusaga meno
 
Back
Top Bottom